Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,926
- 1,159
Ilisolokobwe, tafadhari naomba na mimi unitumie ktk likwandaa@gmail.com
Last edited by a moderator:
kaka chungulia email yako nimeshakutumia software
Naskia leo star tv imeingia kwenye king'amuzi cha azam??????
WADAU haya maelezo mnayotoa hebu mtusaidie na sisi tunaotumia DSTV maana nasi tunatamani sana kuangalia EPL na VPL uchumi unasumbua kulipia DSTV KIFURUSH CHA 85,000. Kila mwezi ni mshahara wa mtu huo. lakini pia tunapenda ligi .kusema kununua tena AZAM DECODER nayo issue maana hapa nakaa nyumba ya kupanga mwenye nyumba ameshaanza kulalamika kuwa tutaangusha nyumba yake kwa sababu ya kujaza madishi. tupo wapangaji 9 kila mtu ana dish wengine mpaka madish matatu kwa kuataka sifa.nyumba inalemewa ukipita nje utadhan hapa ndo sehemu ya kurushia matangazo
Ingiza hizi frequency 12604 H 30000 hapo utapa press tv in english, inb tv, quran tv, sunna na african tv2
Kwangu press tv sijaipata...!
Ni peace tv nilichanganya kidogo. Hope hizo nyingine umezipata?
Jaman sisi wa Zuku vipi
Hapa naona game ya Sunderland vs Southampton live kupiita
Rodriguez Tv 2, ni kwa receiver ya kawaida
Big up