Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Dw inapatikana ndani ya azam tv pia rdv nao wapo ila sijawakamata. Jaribuni kuadd hizo frequency kwenye hii link kwenye eutelsat 7A: http://www.lyngsat.com/
 
Leo nilikwenda kwa jamaa wa dstv sikunakaofa chao ka99,000elf nikiuliza kifurushi cha el17 epl ipo nikaambiwa hakuna,

juzi jamaa yangu kanunua dstv hiyo yenye offer kalipia kifurushi ch 17000.hakina chanrl yoyote ya maana hata1
 
We would like to inform our esteemed viewers that we have
taken a step forward to serve you better.
With effect from 20 November 2014, some of our channels
will be encrypted and viewers will be required to pay a
monthly subscription fee of Forty Kwacha.
This will only be possible for viewers who own and have
paired their Muvi Mpeg4 decoder and smart card.
For those who have not yet paired their decoder and smart
cards, you are required to send your decoder chip ID, Serial
number, smart card number, your name and location or town
via SMS to 3322
Of the 12 Channels, the following will be encrypted Muvi tv,
Muvi Nyimbo, Muvi Bakadoli, Muvi Novela, Muvi Combo and
Muvi Muviz.
You will be informed in due course on how the subscription
will be done
 
Jamaa wameamua kuzifnga na hizi za bure

Jaribu RDV kwa hizi frequency 21574 H 1860 kwenye Eutelsat 7A at 7.0°E ambayo azam TV walikuwa zamani inaonyesha mpira. Nimeshindwa kuijalibu sababu niko mbali na TV
 
Jaribu RDV kwa hizi frequency 21574 H 1860 kwenye Eutelsat 7A at 7.0°E ambayo azam TV walikuwa zamani inaonyesha mpira. Nimeshindwa kuijalibu sababu niko mbali na TV

rdv ipo eutelsat 16 na sio 7. na freq zake ni 10804 h 30000
 
Dw inapatikana ndani ya azam tv pia rdv nao wapo ila sijawakamata. Jaribuni kuadd hizo frequency kwenye hii link kwenye eutelsat 7A: http://www.lyngsat.com/

sio kweli hata kidogo... izo chanel kwa huku kwetu ni ngumu sana kuzipata... beam iliobeba izo chanel ni ya europe c... kuipata io beam andaa dish ft 30.... acha kuwaaminisha watu data za uongo...

fanya ichunguzi kwanza sio kukurupuka.
 
juzi jamaa yangu kanunua dstv hiyo yenye offer kalipia kifurushi ch 17000.hakina chanrl yoyote ya maana hata1

tangu mwanzo niliwaambia watu neno hili... ila walinijia juu sana.. sasa yanatimia.
 
Jaribu RDV kwa hizi frequency 21574 H 1860 kwenye Eutelsat 7A at 7.0°E ambayo azam TV walikuwa zamani inaonyesha mpira. Nimeshindwa kuijalibu sababu niko mbali na TV

wewe ni muongo... acha io tabia sionzuri... io chanel iko uko eutelsat7 kwa ajiri yawatu wa ulaya na sio africa.
 
ni kweli rdv wapo kwenye 7A ila sio kwa beam ya africa wako Europe c na hizo frequency ni ka band sio ku wala c band il à kwa hapa tz wanapatikana Eutelsat 16A @ 16e.

usemacho ni sahihi kabisa ila kitendo cha kuwaambia wengine nao pia waitafute io chanel wakati yeye imemshinda,na hajui sababu ya kwanini ameshindwa kuipata io chanel... basi haipaswi kukubaliana nae hata kidogo, sababu hajui ni kwanini io chanel iko eutelsat7a, yeye kaokota tp mitandaoni kaja kupaste huku...

huu ni uhuni ulio tukuka.
 
moja sielewi nimebaki naikodolea receiver yangu ya azam sijui vya kuitenda!
 
Back
Top Bottom