Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Rt iko ses 5 @ 5e

Yap hata CCTV ziko uses 5 @ 5e kama unatumia Azam TV dish unazikamata pamoja na tele Congo ziko kama nane hivi. Ingize tu frequency zake. Zisipokamata shusha dish chini kidogo sana ukizungusha kwenda right. Mie nazikamata pamoja na hizo za akina nhk through Azam TV dish na za Azam pia nazipata zote.
 
...mkuu Ph-25 king'amuzi cha zuku vipi,siezi fanyia mandingo kama haya...
 
Last edited by a moderator:
muda sasa umepita nimeona tutanue wigo wa watu kujifunza kuhusu mambo ya satelite... kuna grupu la wasapu limeanzishwa... grupu ilo linazingumzia mambo ya fta chanels... jinsi ya kuhunt sat mbalimbali.. na mambo kadha wa kadha...

hakuna malipo ni freee... kama uko tayari basi ni pm namba yako ya wasapu au weka hapa namba au tumia namba hii kujiunga na grupu...

0765 42 99 14

wote mnakaribishwa.
 
Hebu nilekezeni maana sielewi nitaingozaje, ungeandika steps to follow from the beginning to the end with one frequency asexamppe
 
Jamani katika kuongezaongeza mafrequency ktk AzamTV nimebahatika kupata i24News English na French. Pia nimepata Zouk zone.Ila zipo Chanel nyingi tatizo hazioneshi. mfano ipo zouk sports,b4u,KBC,zouk entertainment, zouk family nk. ila Naona mbili tu yaani zouk zone na i24 ya Israel.
 
Jamani katika kuongezaongeza mafrequency ktk AzamTV nimebahatika kupata i24News English na French. Pia nimepata Zouk zone.Ila zipo Chanel nyingi tatizo hazioneshi. mfano ipo zouk sports,b4u,KBC,zouk entertainment, zouk family nk. ila Naona mbili tu yaani zouk zone na i24 ya Israel.

Hizo ndiyo ziko clear jaribu kuangalia hiyo link hapo kwa chini utaona maelezo in short nyingine ziko encrypted ndo maana hazionekani. Pia jaribu hizo frequencies nyingine utapata rt na kuna nta news, rave TV, poa hilo na canal 3. Kama utazipa toa feedbacks kwa wadau jf waziweke pia

http://www.lyngsat.com/SES-5.html
 
Hizo ndiyo ziko clear jaribu kuangalia hiyo link hapo kwa chini utaona maelezo in short nyingine ziko encrypted ndo maana hazionekani. Pia jaribu hizo frequencies nyingine utapata rt na kuna nta news, rave TV, poa hilo na canal 3. Kama utazipa toa feedbacks kwa wadau jf waziweke pia

http://www.lyngsat.com/SES-5.html

OK ! Mkuu ngoja nianze kazi
 
Nimepigapiga Naona zile ambazo hazionekani zinajirudia Japo zipo mpya nyingine lakini hazionekani. Chakufurahisha nimebahatisha moja inaitwa MCS sports channel. Ni nzuri nimependa. Naona wanasema wanaonesha major league sasa sijajua ni zanchi zipi.Ila ipo vizuri nadhani nitapata hata uefa.
 
Nimepigapiga Naona zile ambazo hazionekani zinajirudia Japo zipo mpya nyingine lakini hazionekani. Chakufurahisha nimebahatisha moja inaitwa MCS sports channel. Ni nzuri nimependa. Naona wanasema wanaonesha major league sasa sijajua ni zanchi zipi.Ila ipo vizuri nadhani nitapata hata uefa.

amna kitu kama iko... uefa sahau apo.
 
Hebu nilekezeni maana sielewi nitaingozaje, ungeandika steps to follow from the beginning to the end with one frequency asexamppe

soma uzi huu kila kitu kimejieleza na maelezoya.kutosha yapo humu humu.
 
Mbona mnatutamanisha pasipo kutupatia frq za hizo chaneli?

Jaribu frequency hizi hapa japokuwa inawezekana nyingine ulishaingiza:

12728h30000
11192h3210
10962h3256
10721h30000
11785h27500

Hizi ziko 5e but just try unaweza pata channels pia za zuku etc

11843h27500
11996h27500
12015v29950
12054v29950
12303h30000

Toa feedback kwa wana jf kama umepata au umekosa.
 
Hapo kuna channels za muvi TV, kuna sunna 1 and mbili za kiislamu, moja ya msumbiji, na pia na nyinginezo. We umepata zip?

peace tv na zingine lakini hazioneshi kitu. Nilikuwa najaribu za sports nimepata mbili ambazo ni Fox sports ambayo inaonesha EPL pia nikapata MCs international (sports channel). Mida hii naenjoy Copa de ray live fox sports.
 
Nime add freq zoteee na sr zake. Nimesearch na kupata chane 30. Yaani 26 ni tv na 4 ni radio. Japo kuna rodrigues tv 2 and radio ndo haioneshi... tanx sir!
 
Back
Top Bottom