Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Hata wakibali watabadili beam tu na siyo satellite. Wakibadiliasha satellite means lazima tubadilishe direction za madishi yetu kitu ambacho kigumu sana. Wanaweza kujoin beam mbili ya africa 45 ambayo wanaitumia for now may be na europe a,b or c ambazo ziko kwenye 7a 7e pia

icho kutu unacho zungumza ni kigumu sana... na hakiwezekani... emu jiulize ninani sasa ameweza kuipata beam ya europe kupitia azam.? kama hakuna je ni kwanini.?

je unajua kua.kuna baadhi ya.sehemu itawawia vigumu kuipata io beam.?
 
waheshimiwa mie ninatumia startimes,ikiaanza kuzingua ndipo utawajua wachina ni watu gani,nawaza kati ya azam na Dstv...ipi bora..namaanisha quality ya picha na stesheni zake ?nisaidieni wadau
 
waheshimiwa mie ninatumia startimes,ikiaanza kuzingua ndipo utawajua wachina ni watu gani,nawaza kati ya azam na Dstv...ipi bora..namaanisha quality ya picha na stesheni zake ?nisaidieni wadau

dstv ni baba la ving'amuz ila local channel za hapa nyumban hauta pata zote.
 
Dah tukumbuke pia azam wanampango wa kubadilisha satellite mwezi huohuo wa sita ,hivyo wanaweza kihamia satellite ambayo hakuna free km ile UA dstv! Hivyo bado ni pata potea

nadhani ni aghali sana kubadilisha satellites na co kitu rahisi kwani kitasababisha usumbufu mkubwa kwa wateja afu hizo FTA kwenye Azam zitaonyesha mechi zote 64 au moja moja?
 
nadhani ni aghali sana kubadilisha satellites na co kitu rahisi kwani kitasababisha usumbufu mkubwa kwa wateja afu hizo FTA kwenye Azam zitaonyesha mechi zote 64 au moja moja?

japo ni aghari sana ila kumbuka kama apo walipo hakuna maslai lazma watahama tu...kwani .zuku ilikuaje.?
 
TBc2 now FTA ON SES 5 on 11785v27500

tbc 2 kamwe haiwezi kua fta.... kwani hao jamaa wanapata mkwanja sana kupitia io chanel..... ila kwa majaribio inawezekana na nilazma wata ilock tu.
 
source plz.

Mkuu source ni FB ya azam, yule anayeongoza hiyo pg ya FB Kwa niaba ya azam tv amedai wamefikia uamuzi baada ya kuona hapo walipo signal zao hazipo stable hata inapotokea mawingu kidogo. Pia amesema wana mpango wa kufunga kifaa maalumu kitakachoimarisha signal kipindi cha mvua
 
tbc 2 kamwe haiwezi kua
fta.... kwani hao jamaa wanapata mkwanja sana kupitia io chanel..... ila
kwa majaribio inawezekana na nilazma wata ilock tu.

Na tayari wameshai scramble., hata Gbs pia imekuwa scrumbled.
 
Wadau naomba msaada,kwangu mbona Rodrigues tv1 na Rodrigues tv2 zinaonyesha no signal toka jana!!Tatizo hili ni kwangu tu au na kwa wengine?
 
Wadau naomba msaada,kwangu mbona Rodrigues tv1 na Rodrigues tv2 zinaonyesha no signal toka jana!!Tatizo hili ni kwangu tu au na kwa wengine?

Mie iko poa nipo nacheck game ya hull city versus arsenal
 
Usikose kuangali mechi ya moja kwa moja kati ya Taifa stars vs Zimbabwe live kupitia Azam2 kuanzia saa 10:00 jioni.
 
Jamani naombeni msaada wenu,kwangu Rodrgues tv1 &2 hazionyeshi chochote wakati intensity ni 85% na Quality ni 37%.Sasa yakaribia wiki na wakati zile nyingine kama Muvi combo,muvi nyimbo,muvi muvis na nyinginevyo zinaonyesha kama kawaida!
 
Tp 11785v27500 SES5 kwa sasa ipo hewani enjoy it while it lasts. Chnl za South Africa-SABC1,2,3, eTV,KZN, .....etc.
 
Back
Top Bottom