Hide story
TING Tanzania Integrated Network
Group
KOMBE LA DUNIA - NI HAKI YA
WATANZANIA.... NA WATANZANIA
WANAHAKI KUONA MECHI ZOTE
BURE.......
4 hours ago
Like · 8 Comments · Share ·
Unlike Page
Brits Zdee likes this.
Faustin Costantine
kwa hiyo mtaonesha mechi zote?
Like · 3 hours ago
TING Tanzania Integrated Network
Group
VUTA SUBIRA
Like · 3 hours ago
Baba P J Mao
mtaonesha kupitia nin mana tmeanza
kutoa tng na kununua dish za star tmes
ili tpate tbc 2 na nyie mpo kimya toen
tamko
Like · 3 hours ago
TING Tanzania Integrated Network
Group
Tamko itatolewa waulize kama
wanahaki kuonesha KOMBE LA DUNIA
kupitia TBC 2 ambayo ni channel ya
kulipia????
Like · 3 hours ago
Jonas Michael
Mech zote
Like · 3 hours ago
Shukuru Costantine
tatizo tz wenye ving'amuzi wote wapo
kibiashala sna, we hata CCTV zachina
watu wanazijumlisha kwenye kulipia na
hilo kombe la dunia watu wanafanya dili
hili watu walipie wakati mechi zenyewe
zinachezwa asubuhi nani atakua Ok
kulipia kwajili ya kombe ka dunia wakati
simu zipo unaingia net au Live score
unaona majibu, Chanel zanje zipo kibao
wanalusha na ving'amuzi vipo kibao
kma vp watu wataenda kulipia kwenye
vibanda kwawale wasio na kazi
maalumu, kwakifupi watambue kombe
la dunia wasifanye kigezo tulipie chanel
zakenya uganda zote mzuka tu na Dstv
kma kawa
Like · 1 hour ago
Baba P J Mao
unajua mtoe tamko je mtaonesha
kupitia chanel gan?jbu rahs tu
Like · 57 minutes ago
Mc -----
Kama mtaonesha itakuwa vzur
Like · 9 minutes ago