Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Frequency za hiyo TV ipo hapo juu kabisa ya uzi huu. Nina maana post ya kwanza kabisa isome kuna frequency mbili zimetolewa ndio hizo.

daaa iii azam mbona inawapasua kichwa sana humu ndani.?
 
kama una dish la azam au zuku na linafanya kazi basi ni kiasi cha kuchomeka decoda ya startimes habari kwishaaaaa ha ha ha ha ha startimes bna hawajielewi kabisaaaa na hawata fanya biashara kupitia ilo dish lao.
 
kama una dish la azam au zuku na linafanya kazi basi ni kiasi cha kuchomeka decoda ya startimes habari kwishaaaaa ha ha ha ha ha startimes bna hawajielewi kabisaaaa na hawata fanya biashara kupitia ilo dish lao.


Unamaanisha kuwa hutolipia tena kabisa miaka nenda rudi hadi wajitambue!??
 
Unamaanisha kuwa hutolipia tena kabisa miaka nenda rudi hadi wajitambue!??

sijazungumza kuhusu malipo... nazungumzia vifaa hapa...malipo utalipa kama kawaida ila kama una madishi nilio yataja hapo juu huna aja.ya.kununua dishi laoo....

hope umenielewa.
 
pole mkuu hata mm nacheki


chukua remote

juu kabisa batani ya pili kutola kulia

imeandikwa radio.

press hiyo

nenda kwenye track set

bofya kwenye remoti yako vol batani ya upande wako wa kulia

uipate left. Tatizo litakua solved.

jamani nashukuru sana nimetatua tatizo ni matumaini yangu mbc3 Mauritius wataonyesha kombe la dunia
 
Wanaonyesha mkuu channeli ziko nyingi tu kwenye hizo free channeli ndani ya azam TV zitakazoonyesha kumbe la dunia zikiwemo CRTV,Muvi TV,MBC,RTS na RTG: For more information read here 2014 FIFA World Cup broadcasting rights - Wikipedia, the free encyclopedia

mkuu azam wana akili ujue wameweza kutenganinsha zao wenyewe na zile tulizochakachua .

Kama ni hivyo wanaweza hata kuzilock na tunazochakachua hizo sema jamaa wamekua fair tu.

ref:kwa startimes si tulikua tunachakachua na sasa wamefanyaje tusijipe mahope sana baadae tukapata stress kwa kufungwa kwa hizo za free.
 
kama una dish la azam au zuku na linafanya kazi basi ni kiasi cha kuchomeka decoda ya startimes habari kwishaaaaa ha ha ha ha ha startimes bna hawajielewi kabisaaaa na hawata fanya biashara kupitia ilo dish lao.



Hizi ndizo Frequency za Dish la
Startimes.
Star Sat Dish Parameters
Satellite Name-SES5
Satellite Direction-West North 80.18
Degrees
Frequency-11976 Mhz
Polanzation-Vertical
Azimuth 49.59 Degrees
Signal status Should be at least-
Signal Strength Over 70
Signal Quality Over 80
 
Hizi ndizo Frequency za Dish la
Startimes.
Star Sat Dish Parameters
Satellite Name-SES5
Satellite Direction-West North 80.18
Degrees
Frequency-11976 Mhz
Polanzation-Vertical
Azimuth 49.59 Degrees
Signal status Should be at least-
Signal Strength Over 70
Signal Quality Over 80

STARTIMES nao wameleta matumizi ya DISH!?!!..Bas huenda itasaidia tatizo lao
 
Hizi ndizo Frequency za Dish la
Startimes.
Star Sat Dish Parameters
Satellite Name-SES5
Satellite Direction-West North 80.18
Degrees
Frequency-11976 Mhz
Polanzation-Vertical
Azimuth 49.59 Degrees
Signal status Should be at least-
Signal Strength Over 70
Signal Quality Over 80

kwa uelekeo wa dstv kuna channel gani ya fta ambayo naweza ipata na itaonyesha kombe la dunia? natumia g6 rcva.
 
Dah tukumbuke pia azam wanampango wa kubadilisha satellite mwezi huohuo wa sita ,hivyo wanaweza kihamia satellite ambayo hakuna free km ile UA dstv! Hivyo bado ni pata potea

source plz.
 
Hizi ndizo Frequency za Dish la
Startimes.
Star Sat Dish Parameters
Satellite Name-SES5
Satellite Direction-West North 80.18
Degrees
Frequency-11976 Mhz
Polanzation-Vertical
Azimuth 49.59 Degrees
Signal status Should be at least-
Signal Strength Over 70
Signal Quality Over 80

kwa data izi... mbona ni maumivi yakichwa kwa baadhi ya maeneo hapa nchini....

je wanajua kufikia viwango gyao ivyo waitaji vifaa vyenye nguvu... je wata viweza huki wao ndio wanaongoza kwa ubabaishaji.? any way there is no harry in africa.
 
mkuu azam wana akili ujue wameweza kutenganinsha zao wenyewe na zile tulizochakachua

Kama ni hivyo wanaweza hata kuzilock na tunazochakachua hizo sema jamaa wamekua fair tu.

ref:kwa startimes si tulikua tunachakachua na sasa wamefanyaje tusijipe mahope sana baadae tukapata stress kwa kufungwa kwa hizo za free.
Sidhani sababu kwenye facebook page yao mod wao huwa anawambia watu waweke hizo frequency so wana encourage kama option yao ya kuwafanya wauze sababu huku kuna free channeli zinaonyesha mpira
 
source plz.

Hata wakibali watabadili beam tu na siyo satellite. Wakibadiliasha satellite means lazima tubadilishe direction za madishi yetu kitu ambacho kigumu sana. Wanaweza kujoin beam mbili ya africa 45 ambayo wanaitumia for now may be na europe a,b or c ambazo ziko kwenye 7a 7e pia
 
Back
Top Bottom