Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Kupitia satelite ya Ses@5e niwezeka kupata channel 12 zinaandika tu majina na moja ina odm test inaonekana ipo katika matengenezo frequency ni 11785 V 27500 kama mtaalamu anaweza ongeza ujuzi zioneshe itakuwa pouwah sana maana kuna channels kama Kzn, Sabc 1-3, eTv, star gospel, tshwane tv, one music, mindset, astv, deen tv na odm test

muda mwingne unasumbua watu vichwa tu mkuu,embu gonga hapa kisha soma kwa makini.
SABC 1 - LyngSat izo chanel sio fta na wala hauwezi kuzifungua kwakutumia rcver ya kawaida nucta.
 
Kupitia Satelite ya Ses@5e kuna channels zingine 12 na radio 7 ingiza hii frequency 12015 V 29950😀

mkuu haya mambo unayo yaandika humu unauelewa nayo lakin.?mana kwamtu ammbae haelewi mbele wala nyuma unammezesha sumu tupu.
 
Samahani kwa kukusumbua unajua mi bado mgeni kwa huu ulimwengu ndo najitahidi kujifunza kupitia nyie wazoefu
 
10804 h,30000
happy hunting

Kama hapo mkuu umeweka frequency symborate na polarity yake. jaribu uweke pia angle na satellite yake itasaidia sana, hii pia itumike kwa yeyote anae leta frequency ya channel mpya.
Kwa frequency uliyo weka hapo juu mimi sijui niweke kwenye satellite ipi.
 
Kama hapo mkuu umeweka frequency symborate na polarity yake. jaribu uweke pia angle na satellite yake itasaidia sana, hii pia itumike kwa yeyote anae leta frequency ya channel mpya.
Kwa frequency uliyo weka hapo juu mimi sijui niweke kwenye satellite ipi.

mkuu hapo nimemjibu mdau uko juu,izo frqnce ni mpya za kupata chnl za rdv,stv,orbt,tv togo, zinatumika ktk sat ya eutelsat16@16e, kama ungefatili tililiko vzr ungeelewa.
 
Hii na uhakika nayo maana nimeiweka na inafanya kazi japo signal yake ni weak
 
Samahani kwa kukusumbua unajua mi bado mgeni kwa huu ulimwengu ndo najitahidi kujifunza kupitia nyie wazoefu

sasa kwanin uandike uongo.?kwanin usiulize.? Ivi unajua kunatofauti kati ya intelsat ya 10 na 20,japo angle sawa.? Ivi unajua kuna fta chanel na payed chanel.? Je ukioneshwa izo chanel unaweza kuzigundua kua ipi ni fta na payed ni ipi.? Bora uwe unauliza kwanza mkuu kabla ya kushawish watu wazitumie.
 
Soma vizuri post yangu iliambatana na maelezo ambayo yalikuwa kwenye mfumo wa swali ambalo lipo very clear
 
Soma vizuri post yangu iliambatana na maelezo ambayo yalikuwa kwenye mfumo wa swali ambalo lipo very clear

embu punguza jazba mkuu,vitu unavyoleta ni vyauongo,chanel ziko encycript,alafu unataka ushauri humu,nakushauri katafute rcver za video gurd au vox, ndo utafanikiwa kuzifungua izo chaneli,lasivyo rudi mmu tu,huku hapakufai,huwezi kuwaaminisha watu uongo kua payd chanel za videogurd uzifungue kwa rcver ya azam izo ni ndoto.
 
Kupitia satelite ya Ses@5e niwezeka kupata channel 12 zinaandika tu majina na moja ina odm test inaonekana ipo katika matengenezo frequency ni 11785 V 27500 kama mtaalamu anaweza ongeza ujuzi zioneshe itakuwa pouwah sana maana kuna channels kama Kzn, Sabc 1-3, eTv, star gospel, tshwane tv, one music, mindset, astv, deen tv na odm test

io e tv ni ipi,kama niile ya ethiopia,niyakulipia,kama ni e tv hyde pack ya south,wewe ni muongo haiko angle io ile iko astra 4a nyuzi 28.2,kama ni equenox tv nakubaliana nawewe,apo itafunguka,swali linakuja kwani sasa apo kwako haifunguki..? Sbc zote ni zakulipia.
 
Uzi umeingiliwa toka juzi sijui kinachoongelewa humu mnatuchanganya wadau kwanza uzi huu ni kwa ajili ya azam tv
 
io e tv ni ipi,kama niile ya ethiopia,niyakulipia,kama ni e tv hyde pack ya south,wewe ni muongo haiko angle io ile iko astra 4a nyuzi 28.2,kama ni equenox tv nakubaliana nawewe,apo itafunguka,swali linakuja kwani sasa apo kwako haifunguki..? Sbc zote ni zakulipia.

Mkuu ninakuaminia sana unatusaidia kugundua watu wanaotudanganya humu u really an expert.
 
Mkuu ninakuaminia sana unatusaidia kugundua watu wanaotudanganya humu u really an expert.

usijari mkuu,penye ukweli uongo ukaa kando,nimemuuliza maswali apo juu naomba ayajibu hayo maswali.
 
usijari mkuu,penye ukweli uongo ukaa kando,nimemuuliza maswali apo juu naomba ayajibu hayo maswali.
Mkuu je unaweza kuadd new frequencies katika king'amuzi cha AZAM TV ili kupata FTA Channel katika SAT ya Eutelsat 7A- 7.0E
 
Back
Top Bottom