Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,222
- 36,239
Habari za jioni.
Kizuri kula na wenzio.
Ukiguswa tafadhali elezea ulijifunzia wapi mambo ya Mahaba yaani utundu na ufundi wa 6*6.
Acha kujua kuchomoa na kuchomeka laah hasha ujuzi na ufundi yaani umaridadi bin ubunifu bin sanaa ya mapenzi.
Ulizaliwa nayo? Ulirithishwa? Au mpaka leo hujui kitu zaidi ya kuchomeka/kuchomekwa na kuchomoa kama kisu kwenye ala yake?
Kwa upande wangu nilijifunza Mahaba kupitia majarida, simulizi (riwaya) na vitabu. Nilikiwa napenda sana kusoma, na nikishika kitabu au jarida au riwaya yenye kuelezea scenes za mapenzi ntasomaa mwanzo hadi mwisho bila kukatisha.
Kupitia kusoma nilijifunza kukata viuno ni kichocheo kwenye ufundi, kuwa mwepesi na si kulala kama gogo, kuwa tayari kuelekea upande wowote nnaoelekezwa, namna ya kupangilia sauti ya kwanza hadi ya 18 nakadhalika wa kadhalika.
Kilichonifikirisha kuanzisha huu uzi ni baada ya kusoma memba mmoja humu alifundishwa kufanya mapenzi na dada yao wa kazi. Nikapata maswali yasiyo na majibu, alifundishwaje? Alikuwa anaelekezwa cha kufanya anafanya au yeye (kijana) ndo alikuwa anashughulikiwa?
Angalizo: ukiona mahaba yamekuwa mengi nipotezee tuu bin kuupotezea uzi.
K' Matata.
Kizuri kula na wenzio.
Ukiguswa tafadhali elezea ulijifunzia wapi mambo ya Mahaba yaani utundu na ufundi wa 6*6.
Acha kujua kuchomoa na kuchomeka laah hasha ujuzi na ufundi yaani umaridadi bin ubunifu bin sanaa ya mapenzi.
Ulizaliwa nayo? Ulirithishwa? Au mpaka leo hujui kitu zaidi ya kuchomeka/kuchomekwa na kuchomoa kama kisu kwenye ala yake?
Kwa upande wangu nilijifunza Mahaba kupitia majarida, simulizi (riwaya) na vitabu. Nilikiwa napenda sana kusoma, na nikishika kitabu au jarida au riwaya yenye kuelezea scenes za mapenzi ntasomaa mwanzo hadi mwisho bila kukatisha.
Kupitia kusoma nilijifunza kukata viuno ni kichocheo kwenye ufundi, kuwa mwepesi na si kulala kama gogo, kuwa tayari kuelekea upande wowote nnaoelekezwa, namna ya kupangilia sauti ya kwanza hadi ya 18 nakadhalika wa kadhalika.
Kilichonifikirisha kuanzisha huu uzi ni baada ya kusoma memba mmoja humu alifundishwa kufanya mapenzi na dada yao wa kazi. Nikapata maswali yasiyo na majibu, alifundishwaje? Alikuwa anaelekezwa cha kufanya anafanya au yeye (kijana) ndo alikuwa anashughulikiwa?
Angalizo: ukiona mahaba yamekuwa mengi nipotezee tuu bin kuupotezea uzi.
K' Matata.