Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,038
- 173,731
Haya mapenz ya hivi bado yapogi 😅Asante mme wangu, Mungu akuongezee zaidi na zaidi. ntakupikia chakula kitamu sana unachokipendaga
Haya mapenz ya hivi bado yapogi 😅Asante mme wangu, Mungu akuongezee zaidi na zaidi. ntakupikia chakula kitamu sana unachokipendaga
Mwanaume anatafuta sana hela ili akizipata atulie na mwanamkeNdo maana walitusomesha ili tusinyanyasike....mimi bibi yangu hana sikio moja mpaka sasa alimfuma babu na kimada akazira hakupika skan babu kurudi anakuta msosi tee eti bibi kajinunisha alilambwa panga la sikio
Pamoja na kupewa mwongozo na sir God waishi na sisi kwa akili, bado kuna wakulungwa wanaseme eti wanawake hawana akili, hawajawahi kugundua kitu....hihihiii nacheka kIsuKUMaNa maranyingi huwa ni akili, ndiyo maana walisema wanaume ishini na wake zenu kwa akili sasa wengi wanatumia nguvu na ubabe.
AtAfanya mfanyakazi wa ndaniHalafu wakati huo kazi za ndani anafanya nani mkuu
Halafu mke akikufanyia yote hayo ndiyo hutachepukaAtAfanya mfanyakazi wa ndani
Kwanza mwanaume kutochepuka ni ufala. Mwanaume unakuwaje na mwanamke mmoja bwana wewe??!!Halafu mke akikufanyia yote hayo ndiyo hutachepuka
Duuh huwa sikubaliani na mitazamo yako ila napenda the way uko rational na unakubaliana na ukweli kwamba mla vya watu na vyake huliwa. Siyo wenzio wanaotaka kula vya wenzao tu ila vya kwao hawataki viliwe.Kwanza mwanaume kutochepuka ni ufala. Mwanaume unakuwaje na mwanamke mmoja bwana wewe??!!
Ata wewe mwanaume hudumia mke wako ipasavyo lakini kamwe usijidanganye kuwa hata chepuka. Hamna mbususu yako peke yakodunia ya sasa. Wanawake wenyewe hawa tunaoa breki pum.bu
Asante kwa kulitambua hilo.Duuh huwa sikubaliani na mitazamo yako ila napenda the way uko rational na unakubaliana na ukweli kwamba mla vya watu na vyake huliwa. Siyo wenzio wanaotaka kula vya wenzao tu ila vya kwao hawataki viliwe.
Nashangaa na mie hapa.Mana anatuchosha yani
Watu na vyeti vyao wana ndoa zao
tatizo wanawake wenye elimu ndogo na kipato duni ukimpata/akikupata hakawii kukuroga na malimbwata na chuma ulete juu, we jaribu kudate na hawa wavaa madera uone kazi
utajuta
Carlos The JackalTumekusikia mkuu...ni ukwel ambao wengi hawataki kuuskia....kwa hyo unataka kunambia huyu jamaa kwa jina la Carlos Jackal anaendeshwa na mke ila anaona sehem ya kujifarij ni hapa JF maana mara nying anajifanya ana uwezo wa kuhandle mwanamke aliemzidi kipato na elimu
Yapo sana tuHaya mapenz ya hivi bado yapogi 😅
Hongereni sana jamaniYapo sana tu
Ni ukweli mtupuIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.
Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha
Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.
Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.
Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
=====
Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
Nipo naiangalia Avatar yako mara mbili mbiliAkili za kipumbavu