Elimu imekusaidiaje?

Daah,

Mazee ina maana kuzaliwa Madongokuinama Mbombongaaf ndo kumenikosehsa Nobel Prize in Physics?

Enough about me.

Ume raise point moja nzuri sana.

Napenda sana kusoma historia ya Physics. Huwa siku nyingine nawasoma maisha yao kina George Gamow, Georges Lemaitre, Edwin Hubble, Murray-Gell Mann, Paul Dirac, Enrico Fermi, Albert Einstein, Niels Bohr, Wolfgang Pauli, Warner Heisenberg, J. Robert Oppenheimer, Richard Feynman, Kip Thorne, Stephen Hawking, Roger Penrose, etc halafu najiuliza sana.

Hivi hawa magwiji mbona wote watu wa Ulaya na Marekani tu, sanasana utapata wachache wa Asia.

Huku kwetu Africa ina maana hakuna watu wenye akili kama hawa? Au hatujajiwekea mifumo tu ya kuwezeshana?
 
Nikiitafakari Africa napataga maumvu fulani moyoni mwangu , yani aise wazungu wametushinda kila kitu hata mpira tu, hata kuimba, hata kuigiza, hata kwenye kujiamini, hata kwenye kujithamimi, nk

Dada zetu ndo wanafanya tudharaulike zaidi kwa kutumia vitu vyao vya kijinga jinga tu.

 
Hahaa,

Dada zetu wamefanya nini tena mkuu?
 
Hahaa,

Dada zetu wamefanya nini tena mkuu?


Wanatudhalisha sana na madubwasha wanayonunua kwa wazungu na kuyapachika kichwani

Wanafanya dharau zinazidi kwa kutaka weupe wa wazungu

Baadhi ya dada na mama zetu usoni wamekuwa kama nguruwe iliyomwagiwa maji kwa ajili ya kuchunwa, wengine wamekuwa kama kidonda kibichi hivi

Pasipo shaka wanafanya tuendele kudharaulika na ulimwengu wa kwanza Mkuu.

Inauma sana, Inasikitisha sana na kuacha mdomo wazi Mkuu.
 
You are a smartest man in any room
 
Mimi falsafa yangu ni kumuachia Ngoswe ya Ngoswe.

Hususan kama hao wanaofanya nisiyopenda ni watu wazima, wanafanya hivyo kwa hiyari yao bila kulazimishwa, na hawajaniingilia maisha yangu.

Ukiamua kuhamanika kwa kila mtu anayeishi usivyotaka wewe dunia hii utahamanika kwa mangapi ndugu yangu?
 
ulipata shida gani mkuu ulivyokaa na watu wasio na elimu?lol
Watu wasiokuma na elimu wanadanganyana sana mambo obvious tuanze na magonjwa Kuna jiran yetu alipata kansa ya koo ila Sasa waswahili wakawa wanasema Chembe mara kimeo wakaangaika Sasa mzee wangu akamwambia bora uende muhimbili ukacheki shida ni nini.. kufika anakutwa na kansa imeshakomaa
 
Nimekuta watu wanabishana kijiweni nami nikachangia hoja. Hakuna anaenijua pale ila wakaambiana "Sikiliza point za msomi"
Elimu inakupa exposure na knowledge then uko free kufanya chochote na maisha yako.
 

kansa ya koo lazima itakuwa na dalili,

kama hakwenda hospitali kuchekiwa then sio kosa la mtu yeyote..

.au unataka kila mwanajamii wajifunze utabibu kujua on spot kwamba hii ni kansa?,

hospitali madaktari watafanya nini sasa?
 
Nimekuta watu wanabishana kijiweni nami nikachangia hoja. Hakuna anaenijua pale ila wakaambiana "Sikiliza point za msomi"
Elimu inakupa exposure na knowledge then uko free kufanya chochote na maisha yako.

knowledge iko kwenye vitabu,sio kwenye majengo ya shule……sijakataa kuwa tuwe na basic education,ila hii ya kukariri kuwa Msomi ni yule aliyepata Masters or PhD ni wrong,Msomi ni yule aliyesoma vitabu vingi…...LOL ….msinipopoe this is what I believe...
 
Elimu si kwa ajili ya ajira tu. Jaribu kukaa na watu wasio na elimu ndio utajua umuhimu wake.
Somehow kuna ukweli ila wasomi wengi sku hizi ndo akili hawana na ndio wanaoiharibu jamii kwa kujua kwingi
Wapo wengi nimewashuhudia wamesoma sana lakin ni hopeless
 
Somehow kuna ukweli ila wasomi wengi sku hizi ndo akili hawana na ndio wanaoiharibu jamii kwa kujua kwingi
Wapo wengi nimewashuhudia wamesoma sana lakin ni hopeless
Kuna kusoma na kuelimika. Hao hawajaelimika.
 
Ni kweli tunapaswa tuweke vichwani mwetu yanayotuhusu tu.

Jaza kichwa chako na mambo yanayokuhusu


 
Kwa upande wangu Technical education ni nzuri zaid na itamfaa yeyote compared to career education
 

Mkuu naomba nikuone PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…