Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Nipo Igunga mapumziko. Kuna kijiji cha jirani (20km) watoto walifaulu 42 wote wakaripoti shule. Baada ya mwezi wameacha shule na sasa kati ya hao 42 wamebaki 5 tu.
Igunga inakwenda wapi? Mbunge anajua hilo? Wazazi huku wahonga viongozi ili watoto wao wafutwe shule! Ni kama hadithi lakini ndiyo live news.
Hivi huko tuendako hii jamii ya hapa itakuwa wapi?
Igunga inakwenda wapi? Mbunge anajua hilo? Wazazi huku wahonga viongozi ili watoto wao wafutwe shule! Ni kama hadithi lakini ndiyo live news.
Hivi huko tuendako hii jamii ya hapa itakuwa wapi?