Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,496
- 19,533
Nimeona wamesema Elimu High school itakuwa bure, ni vema na Haki, Lakini hii kuwasaidia watu elfu 70 ambazo wazazi wanaweza kujichanga na kuomba omba wakapata na kule ambapo wanadaiwa mamilioni ya Pesa na kukosa hata mikopo (Kwenye Vyuo) Hawapewi kweli kuna tija?
Kwa kila mzazi kutoa elfu sabini sabini mzigo sio mkubwa individually kuliko kwenye fungu tunalochangia wote ili lifanye mengine, tunatoa hizo sabini mara maelfu ya wanafunzi ambao kutokana na kubana mikanda huenda wasipate elimu bora bali bora elimu.
Je, hatuoni ingekuwa bora either tuongeze uzalishaji pote pawe bure au tuboreshe kule juu ili kila kiumbe apate mkopo wa kuweza kupata huu ufunguo wa maisha.
Na kuondoa elfu sabini wakati watu wanachangishwa michango mingi nadhani its just a political statement ila uhalisia ni kuendelea kududumiza elimu yetu (Yaani sio kwamba tunawapa shuka wakati wa Joto bali hilo shuka lina Chawa hence tunawapa miwasho).
Kwa kila mzazi kutoa elfu sabini sabini mzigo sio mkubwa individually kuliko kwenye fungu tunalochangia wote ili lifanye mengine, tunatoa hizo sabini mara maelfu ya wanafunzi ambao kutokana na kubana mikanda huenda wasipate elimu bora bali bora elimu.
Je, hatuoni ingekuwa bora either tuongeze uzalishaji pote pawe bure au tuboreshe kule juu ili kila kiumbe apate mkopo wa kuweza kupata huu ufunguo wa maisha.
Na kuondoa elfu sabini wakati watu wanachangishwa michango mingi nadhani its just a political statement ila uhalisia ni kuendelea kududumiza elimu yetu (Yaani sio kwamba tunawapa shuka wakati wa Joto bali hilo shuka lina Chawa hence tunawapa miwasho).