Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
...hapa kwa kweli naona FAIDA tupu...!huyu mhindi wa aina yake...
mmh, hapa ni hasara tu
utashindwa kwenda kazini hadi ufukuzwe.
Hahhaaaa lolmmh, hapa ni hasara tu
utashindwa kwenda kazini hadi ufukuzwe.
Dah mi naona sijaelewa swaliHapo hasara ni nyingi !
Faida ni chache!
mie nimeona vijipu tu
1. Ugonjwa wa moyo
2. Huna amani
3. Kuangaliwa kila sehemu utayopita nae
4. Kugeuzwa bushoke ndani ya nyumba(utaosha vyombo mpaka mikono iote sugu)
5. utakosa muda wa kupumzika coz kila ukimuangalia tu tayari..!!
6.utaishiwa nguvu na mwili kudhoofu 7bu ya kunanihii kila mara