Eid Vs Pasaka na X-mass

Eid Vs Pasaka na X-mass

Eid inabamba sana Dar es salaam ila kwa sisi tuliopiga misele uko mikoani x-mas ndo baba lao kuna eid moja ilinikuta mbeya aise utafikir sio sikukuu watu wamepoa vibayaa mnoo
 
Kufananisha sikukuu ambazo ni ibada na sikukuu zisizofahamika mwanzo wake isipokuwa kutoka kwenye ushirikina huweza kukupelekea ukakufuru kabisa,kuwa makini mara nyingine unapouzungumzia uislamu mkuu, hakuna mtu aliyewahi kupata hasara kwa kunyamaza, kama huna cha kuandika unanyamaza tu.

abdulqadirj
Duh!mfia dini kwenye ubora wako!pole sana mzee
 
Unaenda Kagera uwambie leo sikukuu ya Idd watu watakushangaa! Kwa maeneo ya pwani sawa lakini kwinginrko ni big no!
 
Kufananisha sikukuu ambazo ni ibada na sikukuu zisizofahamika mwanzo wake isipokuwa kutoka kwenye ushirikina huweza kukupelekea ukakufuru kabisa,kuwa makini mara nyingine unapouzungumzia uislamu mkuu, hakuna mtu aliyewahi kupata hasara kwa kunyamaza, kama huna cha kuandika unanyamaza tu.

abdulqadirj
 
Niamini mimi..kule sikukuu kwa mpangilio ni hivi
1.Mwaka Mpya
2.Krismass
3 Pasaka
4 Nanenane
Hizi zilizobaki ni kama ziko sawa tu
Muungano, Eid, Nyerere day, Mapinduzi, Sabasaba nk.
Kwa hii orodha mkuu, utakuwa unaishia Kijiji I mno tena ndani ndani sana!

Nane nane😂😂
 
Niamini mimi..kule sikukuu kwa mpangilio ni hivi
1.Mwaka Mpya
2.Krismass
3 Pasaka
4 Nanenane
Hizi zilizobaki ni kama ziko sawa tu
Muungano, Eid, Nyerere day, Mapinduzi, Sabasaba nk.
Mkuu itakua unaishi idodi au mtera kama ni kule basi sawa maana hata msikiti hakuna
 
Mmesahau ile misafara inayoelekea kaskazini kwaajili ya sikukuu za mwisho wa mwaka hii skukuu ya idi sawa ni kubwa ila ukiongelea amsha amsha amsha asee achana kabisa na xmass hao waislamu wenyewe wanasubiri maana kila kona ni nyimbo kuanzia tarehe 15 mpka mwaka unaisha
Hiyo misafara ya kwenda Moshi mwisho wa mwaka inachagizwa na kilichotokea siku 40 zilizopita

Km hujaingiza cha kutosha huwez kuwa kwenye msafara utaishia kupiga simu tu kuwajulia hali

Au labda uwe chawa kwa wenye nazo
 
Kwa hii orodha mkuu, utakuwa unaishia Kijiji I mno tena ndani ndani sana!

Nane nane😂😂
😂 mkuu naishi Town kabisa Pasiansi hapa.
Mzee kwa Mwanza umuhimu wa Eid ni kwa wanafunzi tu kufuraia kutoeenda shule, ni kama ilivyo nyerere day au sabasaba.
Ila atkeast nanenane watu huwa wanaifurahia kwa kwenda kwenye maonesho na watoto kucheza michezo mbalimbali kama kushinda soda kwa kurusha ringi.
 
Hiyo misafara ya kwenda Moshi mwisho wa mwaka inachagizwa na kilichotokea siku 40 zilizopita

Km hujaingiza cha kutosha huwez kuwa kwenye msafara utaishia kupiga simu tu kuwajulia hali

Au labda uwe chawa kwa wenye nazo
Sawa
 
Mkuu itakua unaishi idodi au mtera kama ni kule basi sawa maana hata msikiti hakuna


Tatizo la watu wa dar huwa mnadhani Tz nzima ni kama Dar. Hapo naongelea mwanza mjini. Waislam ndio wapo wanaosherekea E
Id ila ni wachache, kwa mkristo unaweza
Hata usijue leo ni sikukuu
 
Inategemea uko wapi. Kuna kipindi nilikuwa sehemu fulani zaidi ya mwaka.

Huwezi amini NANE NANE ndio sikukuu inayobamba maeneo hayo, kuliko zote hizo zilizotajwa.
 
Inategemea uko wapi. Kuna kipindi nilikuwa sehemu fulani zaidi ya mwaka.

Huwezi amini NANE NANE ndio sikukuu inayobamba maeneo hayo, kuliko zote hizo zilizotajwa.
Achana na nane nane, Kuna vijiji sikukuu zao ni siku ya Gulio/Mnada hapo watu watapiga monde, watagegedana na watoto ndo siku ya kuvaa vizuri na kutembeleana wataenda gulioni kununua mahitaji yao na kuinjoi, watu wazima na wazee watakesha Gulioni siku hiyo.
 
Nenda Kilimanjaro waulize watoto iddi ni nini ? Watajibu hata wao wanaambiwaga warudi nyumbani ni sukukuu ya iddi ila hawajui kama iddi na uislam ni kitu 1

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
😂 mkuu naishi Town kabisa Pasiansi hapa.
Mzee kwa Mwanza umuhimu wa Eid ni kwa wanafunzi tu kufuraia kutoeenda shule, ni kama ilivyo nyerere day au sabasaba.
Ila atkeast nanenane watu huwa wanaifurahia kwa kwenda kwenye maonesho na watoto kucheza michezo mbalimbali kama kushinda soda kwa kurusha ringi.
Ok ni kweli kanda ya ziwa nane nane Ina nguvu sana
 
Eid ni mwisho kabisa mkuu, huku nilipo hata hawajui kama kuna sikukuu ya eid na vile iko jumamosi ndo kabisaa, watoto hawaendi shule kisa ni weekend.

Yaani hawajui kitu kuhusu uislam, hizi sikukuu ni eneo na eneo. Huku nanenane na sabasaba zinabamba kuliko eid aisee.
Uko simiyu kama sikosei
 
Back
Top Bottom