Pengine maana mimi nipo dar na experience yangu ni ya dar. wewe upo mkoa gani mkuu??Inategemea na wewe upo sehem gani...Kama ni Pwani yani (Dar, Zenji, Tanga, Mtwara na Pwani) utaona Eid, Xmas, then pasaka ya mwisho.. lakini ukiwa mikoa iliyobaki Tz ni Xmas, pasaka the Eid ya mwisho.
Eid ni mwisho kabisa mkuu, huku nilipo hata hawajui kama kuna sikukuu ya eid na vile iko jumamosi ndo kabisaa, watoto hawaendi shule kisa ni weekend.Inategemea na wewe upo sehem gani...Kama ni Pwani yani (Dar, Zenji, Tanga, Mtwara na Pwani) utaona Eid, Xmas, then pasaka ya mwisho.. lakini ukiwa mikoa iliyobaki Tz ni Xmas, pasaka the Eid ya mwisho.
Eid Mubarak ya Amani na Furaha ndugu! Mengine ni mbwembwe tu.Eid Mubarrak wana Jf,
licha ya utofauti wa kiimani baina ya islam na christian ila Watanzania tumekua ni watu wamoja. Na tumeunganishwa na utanzania wetu. Sikuu ya kiislam huwa ni sikukuu ya taifa zima na ya kikristo pia vivyo hivo, jambo la kumshukuru sana mungu.
Kwa upande wako sikukuu ipi huwa inabamba zaidi kati ya Eid, pasaka na xmass.
Kwa upande wangu mimi huwa inaanza Eid hii ya ramadhani Then Xmass. Na sio kwamba kwa sabab mim ni muislam ila nikiangalia hata mwamko tu wa wananchi, na sehemu za kufurahia katika hizi sikukuu zote hii siku huwa ina shamra nying mno.
Karibuni pilau
View attachment 2596292
Nimeishi mikoa mingi...ila nilipokulia Mwanza hata nlkuwa sijui kama Eid ni sikukuuPengine maana mimi nipo dar na experience yangu ni ya dar. wewe upo mkoa gani mkuu??
Inawezekana, wewe upo mkoa gani mkuu?? na hali ipoje huko??Eid ni kubwa DSM, Pwani, Zenji, Tanga, Lindi na Mtwara.
Mikoani huko, wengi hawajui kuhusu Eid.
Christmas inafahamika kote na inabaki kuwa sherehe kubwa zaidi ya kidini hapa kwetu Tanzania.
Niamini mimi..kule sikukuu kwa mpangilio ni hiviAaah acha uongo mkuuu, mwanza haukujua eid ni siku kuu??
Ila sio kilimanjaroEid ndio sikukuu yenye pesa balaa unauza wateja unawapanga folen
Krismas na pasaka mzunguko wake unakuaga wa kawaida