Eid Mubarak wote

Eid Mubarak wote

Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🄰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima..

View attachment 3290043
Sikukuu njema kwako na familia pia Dr.
 
Sawa šŸ™šŸ¾

Naona umeamua kunizodoa mbele ya Mheshimiwa Mama Waziri, ningekuzodoa Mimi mbio ungeenda dawati la maendeleo, jinsia, wanawake na watoto kushtaki. Na wakati nimejitahidi kuonesha Nia njema kabisa.

Endelea kudharau usiowajua. Najua confidence zote hizo kisa Mama Waziri yupo hapa. Sawa šŸ˜­šŸ‘šŸ¾
We nawe Kwender wa kuoa utakuwa wewe? šŸ˜šŸ˜¹
 
Sawa šŸ™šŸ¾

Naona umeamua kunizodoa mbele ya Mheshimiwa Mama Waziri, ningekuzodoa Mimi mbio ungeenda dawati la maendeleo, jinsia, wanawake na watoto kushtaki. Na wakati nimejitahidi kuonesha Nia njema kabisa.

Endelea kudharau usiowajua. Najua confidence zote hizo kisa Mama Waziri yupo hapa. Sawa šŸ˜­šŸ‘šŸ¾
Mkuu msamehe ili muyajenge uchukue chombo hicho tule harusi wanaJF, na Mama Waziri awe mgeni rasmi ili apige msumali vizuri kwa team kataa ndoa, yeye ni mfano mzuri wa kuiga.
 
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🄰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima..

View attachment 3290043
Mh. Huyu ndiyo yule mlikuwa mnapiga naye nyungu enzi zileee?😁😁
 
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🄰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima......
Mama Dkt. Gwajima D Asante kwa mualiko, ila me nina njaa. Tena siyo ya ubwabwa
 
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🄰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima..

View attachment 3290043
Mama unazingua sasa, mbona hamjavaa swimming costumes na bikini?
 
Download memory yako, au imezidiwa mambo....😄
RAM imejaašŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…
Ila mnapendeza sana Madam na Inlike the way you feel proud of him...unatufundisha sisi wengine kuwapenda sana wenzi wetu. Hongera sanaaašŸ‘šŸæšŸ‘šŸæšŸ‘šŸæ
 
RAM imejaašŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…
Ila mnapendeza sana Madam na Inlike the way you feel proud of him...unatufundisha sisi wengine kuwapenda sana wenzi wetu. Hongera sanaaašŸ‘šŸæšŸ‘šŸæšŸ‘šŸæ
šŸ‘‹šŸ‘‹šŸ‘‹ Tuendelee kushirikiana.....
 
Maza
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🄰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima..

View attachment 3290043
Mawaziri wote wangekuwa simple kama wewe nchi yetu ingekuwa pahala pazuri sana,, hongera mh,, msalimie sana mzee
 
Back
Top Bottom