Eid Mubarak wote

Eid Mubarak wote

Kwahiyo namzidi kaka Luca na tlaatlaah 😹😹😹

Mimi nataka atusaidie kataa ndoa hamtaki kutuoa nia yenu tuharibu jamii au?
Mama Waziri akinijibu tu comment yangu, nakuja DM chap tuyajenge na nakuchumbia. Naachana na wale wahuni…, yaani nasaliti kabisa kile chama Chetu cha Kataa ndoa 😌😌😌
 
Picha nzuri hii kwaajili ya status yangu kule whatsApp
 
Mama Waziri akinijibu tu comment yangu, nakuja DM chap tuyajenge na nakuchumbia. Naachana na wale wahuni…, yaani nasaliti kabisa kile chama Chetu cha Kataa ndoa 😌😌😌
Hiyo na ndoa ya mkeka ina utofauti gani? 😹😹
 
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🥰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima......
Eid Mubarak kwako na familia nzima!
 
Usijali kwani ni hatari sana kueleweka na watu wote wakati mmoja..... Eid Mubarak kwako, karibu Kawe Beach ⛱️ ⛱️ ⛱️
Kweli mama mimi huwa msema kweli, kwa professional yako na ile issue ya Covid-19 ulizingua..!! Ila ss hivi awww mitano tena unafanya vizuri sana na umekuwa karibu sana na wananchi..!! Kongole 🫡
 
Wasaalam rafiki yetu....

Kwa kweli, baada ya kusubiri mwaliko wako mpendwa halafu hatukuoni🥰, mimi na mume wangu Advocate Gwajima, tumeamua kuja zetu utalii wa ndani Kawe Beach,

Tunawatakia Eid Mubarak.....

Ni hayo tu.... 🤣 Kutoka familia ya Advocate Gwajima......
Hongera good family , good couple and good leader

Hakika tumebarikiwa kuwa na MTU kama wewe God bless you .


Ila usiniache hivi nakutumia namba PM unitumie 20K ili na Mimi Eid na watoto wangu wapate mlo mzuri

Ahsante


Msalimie Adv Gwajima mwambie tunampenda na ikimpendeza aongeze mapendo yawe yakumwagika

Cc Dkt. Gwajima D
 
Kweli mama mimi huwa msema kweli, kwa professional yako na ile issue ya Covid-19 ulizingua..!! Ila ss hivi awww mitano tena unafanya vizuri sana na umekuwa karibu sana na wananchi..!! Kongole 🫡
Sasa Baraza la tiba asili lilikuwa na kazi Gani kwani jamani.... Mwenyekiti ni professor anateuliwa na Rais na wajumbe wasomi kabisa na Sasa wameteuliwa tena na ni kwa mujibu wa sheria na sawa zilikuwa zinasaidia tu kama panado inavyosaidia haiponyi na zimesajiliwa na Baraza kupitia kwa mkemia mkuu wa serikali.... Sasa hapo ni uelewa au basi tu kisa mimi...
 

Attachments

  • IMG-20250328-WA0170.jpg
    IMG-20250328-WA0170.jpg
    62.6 KB · Views: 19
Kweli mama mimi huwa msema kweli, kwa professional yako na ile issue ya Covid-19 ulizingua..!! Ila ss hivi awww mitano tena unafanya vizuri sana na umekuwa karibu sana na wananchi..!! Kongole 🫡
Naomba ufungue PM yako 🥺
 
Back
Top Bottom