Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,462
Naamini kabisa pesa nyingi kama hii mpaka bank itoe kuna idhini ya bank kuu BOT, nafikiri ndani ya BOT kuna uozo wa hali ya juu, hii Stanbic hata mwaka mmoja haujapita imetoka kupiga dili la Escrow, je hawa na bank ya mkombozi wako juu ya sheria za bank kuu?
Gavana mkuu ana nini mpaka sasa anatazamwa tu?
Pale BOT ajira nyingi za watoto wa vigogo wasio na ujuzi kabisa,
Gavana mkuu ana nini mpaka sasa anatazamwa tu?
Pale BOT ajira nyingi za watoto wa vigogo wasio na ujuzi kabisa,