EGMA (kampuni ya Kitilya na Mboya) vs Stanbic bank

EGMA (kampuni ya Kitilya na Mboya) vs Stanbic bank

kama gavana alifungwa gavana kutoziona hizi pesa, aache kazi mara moja kwani speed yake haiwezi kuendana na magufuri kwa kuwa ashawekewa speed gavana na Kitilya.
 
Ombeni sefue katumbua jipu zito ITV jamani

Kumbe ile kampuni iliyotupiga ikishirikiana na Stanbic bank wahusika ni Harry Kitilya aliyekuwa kamishina mkuu wa TRA na Mboya. Sasa ukitaka kujua dunia haramu +na yule miss utaelewa sasa na yeye aliingizwaje!!

Mh. Magufuli, kurudishiwa hela haisaidii tunataka walioohongwa wafungwe waende ndani.

SFO wametaja waliohusika ni mzee wetu H. Kitilya na Mboya. Kuweka nchi iwe na adabu wapelekwe mahakamani na kesi isikae mizezi 3.

Na kama wao wana ama walitumika kama middleman wasema top nani.
Didy.

Naona leo umeandika kwa makini mno.

Teh teh teh!!
 

Kwanza nampongeza Kitilya kufungua consultancy baada ya kustaafu na sio kwenda kulima au kufuga ngombe na kuku!, ili at such senior position, ukistaafu unaendelea kufanya kazi za brain power!.


Pasco

Soma vizuri report ya SFO. Kitilya alishiriki kwenye meza ya mazunguzo akiwa amevaa kofia mbili, Serikali na 'Wakala' wa Standard Bank.
 
Back
Top Bottom