Corrie de killer
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 240
- 736
Wengine tunaheshimu walimu wetu yeye anazaririshaUmekua Expert member kumbe😃😃
Kwa kutia kuni kwenye moto hujambo mkuu
Wengine tunaheshimu walimu wetu yeye anazaririshaUmekua Expert member kumbe😃😃
Kwa kutia kuni kwenye moto hujambo mkuu
Unataka aje aniue niniMkuu hivi umecheza na Corrie de killer siku za karibuni aagh ni balaa huyu.
Bora mimi nawaletea matokeo.Wengine tunaheshimu walimu wetu yeye anazaririsha
Itabid nitafute muda wa kugusa naeMkuu hivi umecheza na Corrie de killer siku za karibuni aagh ni balaa huyu.
Sio mwema huyo 😃Wengine tunaheshimu walimu wetu yeye anazaririsha
😂😂😂😂😂Humu ukijichanganya kila mtu ni mzalirishaji ni vile wanajifanya low key 😂😂
Hivo ukipata nafasi itumie maana zamu yako itafika.
Mkuu nipe code😂😂😂😂😂
Utanipiga nyingiii" mimi bado bigina😂Mkuu nipe code
😀😀 twend tukaguseKibonde wako ni lestone na huyu mjuaji Pelius Mwamba
Ni yeye tu me at anytime kwanzia sasa nipolestone weka timetable yako kabisa hapa mmalize game yenu na Kumar Singh
Upo?Ni yeye tu me at anytime kwanzia sasa nipo
Umekaza vidole mkuu" hongera
Hiyo inaitwa Buffon effect 😂😂Umekaza vidole mkuu" hongera
Una haraka ya kwenda wapii
😂😂😂 De Paul anakujitajiiUna haraka ya kwenda wapii
Nlienda kukuandalia makao kijana wanguUna haraka ya kwenda wapii
Oi twende!!?Upo?
Najua unatamani Phase iishie hata wiki hii 😀