Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,210
- 101,581
Mko kwenye speed, asubui tu tuna kichafuaUmeniacha hapo Mr. P, 10g+?
Mko kwenye speed, asubui tu tuna kichafuaUmeniacha hapo Mr. P, 10g+?
Uzuri najua ulichokua unafanya nikawa nasema "Acha kuzingua basi" 😂😂😂Game 1 nmekupetipeti 😂😂 nlitaka tufungane ila aggregate iwe naongoza goli 2 😂😂
Ilikuwa ukifunga nami nakupelekea moto kulevel scoreboard 😂😂😂Uzuri najua ulichokua unafanya nikawa nasema "Acha kuzingua basi" 😂😂😂
Tunanyosha vidole kabla ya kwenda kuhangaika.Mko kwenye speed, asubui tu tuna kichafua
Hatuna budi mkuu, mechi za ligi mzunguko mrefu.Mko kwenye speed, asubui tu tuna kichafua
Na kwanini uhangaike, tulia nyumbani ufurahie wakati woteTunanyosha vidole kabla ya kwenda kuhangaika.
Ulikua ukija sasa nakua nimeshika dash naja kukumbuka tayari ushasogea ndo natumia matchup aagh ulivyofala unajigeuzageuza napoteana 😂😂😂Ilikuwa ukifunga nami nakupelekea moto kulevel scoreboard 😂😂😂
Au sio😅Na kwanini uhangaike, tulia nyumbani ufurahie wakati wote
Sahizi nagawa utamu tu inabidi nipate tambo sasa😂😂🤠😂Ulikua ukija sasa nakua nimeshika dash naja kukumbuka tayari ushasogea ndo natumia matchup aagh ulivyofala unajigeuzageuza napoteana 😂😂😂
Aagh mkuu nitulie hasaNa kwanini uhangaike, tulia nyumbani ufurahie wakati wote
Kwema niaje apo.Kwema wakuu
Poapoa mkuu"Kwema niaje apo.
Wewe unajisahau ukiwa unashambulia na hiyo dash ndiyo kabisaUlikua ukija sasa nakua nimeshika dash naja kukumbuka tayari ushasogea ndo natumia matchup aagh ulivyofala unajigeuzageuza napoteana 😂😂😂
For free 😂Sahizi nagawa utamu tu inabidi nipate tambo sasa😂😂🤠😂
Kwema mkuu. Niaje?Kwema wakuu
WTF🤣🤣
The fu<k is fu<kenedWTF🤣🤣
Kwahiyo unakaza kwangu tuuSahizi nagawa utamu tu inabidi nipate tambo sasa😂😂🤠😂