Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,722
- 11,900
Congo ni mafala sana yani mayele wanamfanya wa ziada kisa tu hizo upupi zinacheza nje.
Congo ni mafala sana yani mayele wanamfanya wa ziada kisa tu hizo upupi zinacheza nje.
Unasifiwa hendisamu unaamua kugawa utamu 😂🙌Wanangu mpo Kasi sana.😂😂🙌🏾
Hadi naogopa.
Hamna source ya taarifa ni selfika 😂🙌Hizi taatifa zipuuzwe. 😂🙌🏾
Its chai man🤣Wanangu mpo Kasi sana.😂😂🙌🏾
Hadi naogopa.
Haya tuweke kolabo ya Khalas na Chai Man 😂Razorblade
Nimekuta sehemu South Africa swala la kuwa finished completely wansema its Chai man means its done🤣
Khalas 😂Its chai man🤣
Endelea kugawa utamu 😂Sukari ya warembo😂🙌🏾
Ila wanangu😂
Unataka kukamia kwa revenge 😂🙌Ila selfika😂🙌🏾
Nitalipa kwenye league nimemalizaa
Kwan mpo nchi gani nyie
Wakimaliza update uje uchukue point😂
Me nagawa point mkuu shahidi RazorbladeMtego huu