Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,330
- 10,777
Analeta michezo ya master Kandambili1 😂Huyu balaa anatuigizia apa
Analeta michezo ya master Kandambili1 😂Huyu balaa anatuigizia apa
Silent killer, 15 tackles only 2 fouls 🙌😀😀
Sa mbona tackels zimeongezeka? Naona aibuu 😝🙊View attachment 3591175
😃😃😃Malizia lipa namba ya TTCL kama anayo😃Hizo zinatumwa kama pesa, weka namba ya muamala 😂
Ngj nipate pia mabeki kaka.Offiside trap yako nitakuja kuipita siku moja ushangae😃😃
Maan hku mabeki ninao had wa 99 aiseOffiside trap yako nitakuja kuipita siku moja ushangae😃😃
Ewaah! Hiyo nzuri zaidi 😂😂😂😃😃😃Malizia lipa namba ya TTCL kama anayo😃
Kwa heshima 😂🙌Mkuu😂🙌🏾
Mkuu sijawah gusa na ww twende?Kwa heshima 😂🙌
Naomba umuue kwa niaba yanguMkuu sijawah gusa na ww twende?
😀😀😀 kama usemavyo,Naomba umuue kwa niaba yangu
Mfanye ajute 😀
Lete coins hizo 😀Silent killer, 15 tackles only 2 fouls 🙌
Nifundishe niwe kama wewe 😂😂😂
Usidanganyike na AI😀Huyu balaa anatuigizia apa
NipeCode
Yani opponent hana shots aagh 🙌🙌 tumekosa sisi😀😀
Sa mbona tackels zimeongezeka? Naona aibuu 😝🙊View attachment 3591175
Amna mbona VVD ni mzuri beki nzuri pepe anapiga kaziNgj nipate pia mabeki kaka.
Huyu wa div na yule wa free hapo kdg ntakuw nimeimarish defense yangu
Wa pemben ndio wanazinguaAmna mbona VVD ni mzuri beki nzuri pepe anapiga kazi
Aah sawaa😃Bissaka hujamuonaWa pemben ndio wanazingua