Ulikuwa una ugomvi na mm kaka??๐๐๐
Unapiga tackle kama Caicedo hufai wewe๐ ๐ ๐๐๐
Sa mbona tackels zimeongezeka? Naona aibuu ๐๐View attachment 3591175
Umeniokota mno๐ ๐ nikasema embu niwe serious sasaUlikuwa una ugomvi na mm kaka??๐๐๐
Hahahaha!! Kwanz nilicho kuwa nashangaa n khan sijawah muwek kweny friend match coz anazingua hatok kumb kule nje nilimset auto aiseUmeniokota mno๐ ๐ nikasema embu niwe serious sasa
Hahaha ukaamua unikung'ute maan nilikuw natumia kocha kimvuli kwakoUmeniokota mno๐ ๐ nikasema embu niwe serious sasa
Kumbe ulimuweka Khan๐ ๐ ndo maana nimekufunga kona nyingi๐Hahahaha!! Kwanz nilicho kuwa nashangaa n khan sijawah muwek kweny friend match coz anazingua hatok kumb kule nje nilimset auto aise
Game ya pili ulimweka Cappello nikashinda ukamludisha game ya tatu na hii ya mwisho๐๐Hahaha ukaamua unikung'ute maan nilikuw natumia kocha kimvuli kwako
Nakuja stuka chuma 6 tayr zisha ingia๐๐Kumbe ulimuweka Khan๐ ๐ ndo maana nimekufunga kona nyingi๐
Ee aise nikaon huyu ngj nimrudish wa kimvuli tu๐๐Game ya pili ulimweka Cappello nikashinda ukamludisha game ya tatu na hii ya mwisho๐๐
Wacha nije classUnapiga tackle kama Caicedo hufai wewe๐ ๐ ๐ View attachment 3591178
๐๐๐Sasa hapo nimebakiza kazi ya kukaba huwezi nishinda maana nikipata tu counter๐๐๐Nakuja stuka chuma 6 tayr zisha ingia๐๐
Offiside trap yako nitakuja kuipita siku moja ushangae๐๐Ee aise nikaon huyu ngj nimrudish wa kimvuli tu๐๐
Mwezi huu utakuwa ushakua mnomaWacha nije class
Hizo zinatumwa kama pesa, weka namba ya muamala ๐Naomba coin 70 em ๐
Sisi ni noobs tuliozoea game, hatuna maajabu.Mnataka mtoe Game ya goal 30 naona ndo malengo yenu
Kwa heshima ๐Hicho kikosi tunambadilishia soon
Hili jamaa huwa liongo sana, kuna muda nikichanganywa na kipa wako huwa naenda gombana na hili jamaa ๐๐๐๐ jamaa ako jau Selikavu au ndio maana yakeView attachment 3591129
Tajiri yetu huyo kama Mo ๐๐Tumwambie Corrie de killer akuoneshe zake๐ ๐