eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kwa heshima ya account 🙌
IMG-20260210-WA0017.jpg

IMG-20260210-WA0018.jpg
 
Samaleko mods wa eFootball Selikavu Edo kissy nawezaje kuanza kucheza baada ya kudownload nizingatie nini kabla sijaanza
●Positioning kulinganga na Koch na mfumo unootumia ni muhimu
●cheza sana ai events kuongeza ujuzi zaidi ili baadae uje kwenye pop
●tunza coins utafute Kocha Mzuri
●jifue vizuri kuzitumia controls zote
Selikavu Mr Devil
Ongezaa
 
●Positioning kulinganga na Koch na mfumo unootumia ni muhimu
●cheza sana ai events kuongeza ujuzi zaidi ili baadae uje kwenye pop
●tunza coins utafute Kocha Mzuri
●jifue vizuri kuzitumia controls zote
Selikavu Mr Devil
Ongezaa
Shukrani mkuu na kwenye kuanza nchi gani nzuri kuna mtu kaniambia Japan au Brazil nisiweke Bongo hii ipoje?
 
Haya sasa nimerudi nikiwa mwana-efootball naomba maelekezo sasa
Ukitaka maelekezo ya kutosha mtag Selikavu au kama unatumia Telegram tumia link naiweka hapo chini kujiunga.

Ikiwa utajiunga telegram hakikisha unaenda settings kuficha taarifa zako kabla hujajiunga kwenye group.

Kama huna telegram pakua kwanza VPN ya 1.1.1.1 ambayo itakusaidia kupata verification code kwa urahisi wakati unajiunga.

 
Ukitaka maelekezo ya kutosha mtag Selikavu au kama unatumia Telegram tumia link naiweka hapo chini kujiunga.

Ikiwa utajiunga telegram hakikisha unaenda settings kuficha taarifa zako kabla hujajiunga kwenye group.

Kama huna telegram pakua kwanza VPN ya 1.1.1.1 ambayo itakusaidia kupata verification code kwa urahisi wakati unajiunga.

Cc

Nomadiq
 
Back
Top Bottom