Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,107
- 2,922
Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingerezaThen sub zao Vier kwa batgoal,, Torres kwa doue na Hazard kwa Raphinha
Hazard ni wamoto mno kwenye hiyo position ukimtrainMtrainππ yeye na hazard
Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia πππ hadi nme mkumbuka drogba wa Razorblade ndo zake izo kukimbia nyuma ya beki zangu ,
Hakuna marefu yasiyo na ncha ..Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia π
Hawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.Ume ona niki tumia CF goal porches wawili mmoja lazima apotee Selikavu
Labda kwenye magemu sio real football πππalafu kama unafuatilia natoa opinio kutokana na mchezo wangu ulivyo ndo maana napishana na Razorblade kila sikuπππNakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingereza
ππkaota kitambiSikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia π
Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.Ngija nichukue kocha wa LB uoneππ
Yeah hii issue nilkua naona ,nka jaribu na hallad fox in the box na bat goal ,goal poacher mbele kukawa ni fujo tu ππHawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.
Ukiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini πππHakuna marefu yasiyo na ncha ..
Jaman amke amken
Wameachana bhanaπππ
Mtu na strker la uzito Wa GB mbili πππ
Kikubwa mnoo, na vile card yake ilivyokaa ni kama vile ananiambia nimuhurumie acheze hata kidogo πππkaota kitambi
Huo mfumo ujue unakuwa na wakabaji wangapi??Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.
Mpunguze na kilo basi afike hata 80ππUkiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini πππ
Unamfundisha mwenzako kucheza haram Football πsilivester mpe instructions ya defensive πππmoja inayobaki mpe makeleleππ
Duh aiseeπPia Rodri mpe Deepline ππ ukipata mpira na Pedri we piga through ya nguvu mbele kama una smart assist hilo ni goli hakuna wa kumkamata Batistuta akiondokaπππ
NEGAN kaanza lini kucheza haramu football πIkifika saa tano tafuta popcorn zako njoo ukae hapa usubili vilioπππView attachment 3465486
Sasa si kasema anafungwa sanaππUnamfundisha mwenzako kucheza haram Football π