Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,124
- 2,982
Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingerezaThen sub zao Vier kwa batgoal,, Torres kwa doue na Hazard kwa Raphinha
Hazard ni wamoto mno kwenye hiyo position ukimtrainMtrain๐๐ yeye na hazard
Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia ๐๐๐ hadi nme mkumbuka drogba wa Razorblade ndo zake izo kukimbia nyuma ya beki zangu ,
Hakuna marefu yasiyo na ncha ..Sikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia ๐
Hawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.Ume ona niki tumia CF goal porches wawili mmoja lazima apotee Selikavu
Labda kwenye magemu sio real football ๐๐๐alafu kama unafuatilia natoa opinio kutokana na mchezo wangu ulivyo ndo maana napishana na Razorblade kila siku๐๐๐Nakutafitia badge ya fifa kocha .....hatuwezu kosa timu ya daraja hata la 3 uingereza
๐๐kaota kitambiSikuhizi hapati nafasi, kwa huu mpira hafai hata kwa kulumagia ๐
Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.Ngija nichukue kocha wa LB uone๐๐
Yeah hii issue nilkua naona ,nka jaribu na hallad fox in the box na bat goal ,goal poacher mbele kukawa ni fujo tu ๐๐Hawashauri kutumia CF wenye playstyle 1 sababu ya muingiliano, unaweza mpa mmoja counter target ili mwengine awe anafanya runs akiwa free.
Ukiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini ๐๐๐Hakuna marefu yasiyo na ncha ..
Jaman amke amken
Wameachana bhana๐๐๐
Mtu na strker la uzito Wa GB mbili ๐๐๐
Kikubwa mnoo, na vile card yake ilivyokaa ni kama vile ananiambia nimuhurumie acheze hata kidogo ๐๐๐kaota kitambi
Huo mfumo ujue unakuwa na wakabaji wangapi??Hapo inabidi umuelekeze mtu ili aweze kuzuia na kushambulia, yeye amesema anagungwa sana halafu wewe unamuelekeza kushambulia tu.
Mpunguze na kilo basi afike hata 80๐๐Ukiendelea hivi naenda kumjaza speed hata akishuka mpaka 100 namuweka kikosini ๐๐๐
Unamfundisha mwenzako kucheza haram Football ๐silivester mpe instructions ya defensive ๐๐๐moja inayobaki mpe makelele๐๐
Duh aisee๐Pia Rodri mpe Deepline ๐๐ ukipata mpira na Pedri we piga through ya nguvu mbele kama una smart assist hilo ni goli hakuna wa kumkamata Batistuta akiondoka๐๐๐
NEGAN kaanza lini kucheza haramu football ๐Ikifika saa tano tafuta popcorn zako njoo ukae hapa usubili vilio๐๐๐View attachment 3465486
Sasa si kasema anafungwa sana๐๐Unamfundisha mwenzako kucheza haram Football ๐