Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Mnataka kumkimbiza sasa au mnatafuta wa kuwapa points 😂Inabidi na yeye ashiriki next league
Akiingia kwenye league itapendeza, vipigo vitamjenga 😂😂😂
Mnataka kumkimbiza sasa au mnatafuta wa kuwapa points 😂Inabidi na yeye ashiriki next league
Siku haiwezi isha bila kukuandama, huo utakuwa ugonjwa 😂😂😂Unataka kusema mimi sio😃😃😃
Kwake yeye me ni professional nimemzidi siku za kucheza...
Ndo nilichomaanisha ila kwakua unapenda vita ukaona unigande🤣🤣🤣
Uliza watu humu, mimi ni kibonde mkuu.Mkuu wait niive kidogo nipe siku 5 nijifue then nikuchallenge sasa hivi utanionea.
Unaona sasa mambo yako 😂😂😂Na atakupiga nyingi sana huyo hana huruma
Dah ananikandia ngoja waje wenye ushahidi wa matokeo uone navyokandwa.Nimeshtuka mkuu.
Alafu nione unatumia jina la noob tena tutatumia ushahid kukufunga. 🤣🤣🤣🤣Bado sanaa mkuu 😃😃😃me mwenyewe na u pro wangu kona nimefunga 5 tuu 🤣🤣
Poa mkuu kesho kutwa tutacheza.Uliza watu humu, mimi ni kibonde mkuu.
Halafu kucheza friends ndiyo kutakuivisha ila siyo AI.
Ugomvi wa ndugu huu sisi hatuingilii 😂😂nyie pandeni tu matchDah ananikandia ngoja waje wenye ushahidi wa matokeo uone navyokandwa.
Kandambili1 Mill broh Mr Devil Gilberto_ njoeni muweke matokeo aone nilivyo kibonde.
Aah kumbe unawafunga mapro hongera sana mkuuAlafu nione unatumia jina la noob tena tutatumia ushahid kukufunga. 🤣🤣🤣🤣
Pa mkuu.Poa mkuu kesho kutwa tutacheza.
imebidi nicheke mkuu ...niemkufumga mara chache sana lakini kucheza na nyie sana Kunafanya nimejua aina ya wachezaji kwa wakati husikaAah kumbe unawafunga mapro hongera sana mkuu
Wewe ni master Pro sasa😃😃
Hatujapanda siku nyingiimebidi nicheke mkuu ...niemkufumga mara chache sana lakini kucheza na nyie sana Kunafanya nimejua aina ya wachezaji kwa wakati husika
Ngoja niweke line hewani kama upo twende...Hatujapanda siku nyingi
Twende ukanifunge basi 😃😃
Mkuu upo?Hatujapanda siku nyingi
Twende ukanifunge basi 😃😃
Yes nakuja mkuu ...namm ngoja niunge bundle apaNgoja niweke line hewani kama upo twende...
Nipo saa tano na nusu uje hapa utakuta code😃😃Yes nakuja mkuu ...namm ngoja niunge bundle apa
Amna shda mkuu ntarudi apaNipo saa tano na nusu uje hapa utakuta code😃😃
Twende nikachezee main account tuuAmna shda mkuu ntarudi apa
Nilitaka nikupeleke kwa Torres lakn nimeona niache tuuAmna shda mkuu ntarudi apa