Warld
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 547
- 1,238
YAni kwenye pass hatupo na kwenye dribbling hatupo hata kwenye kwenda hewani hatupo. 😂😂😂Halafu kuna kina sisi tunacheza mpira hauelewki
YAni kwenye pass hatupo na kwenye dribbling hatupo hata kwenye kwenda hewani hatupo. 😂😂😂Halafu kuna kina sisi tunacheza mpira hauelewki
🤣🤣🤣 ukiingia kwenye mfumo ni kuokota mipira kwenye nyavu tu😅 mpira unategemeana na mpinzani unaekutana nae
Yani nipige pass kati wakati Neymar kafungua kwenye winga apige majaro😅Haha akifungwa mnaziona pasi sio 😅
Wapiga pasi tuheshimiwe.
Yaani na wew pro unasema hivyoYAni kwenye pass hatupo na kwenye dribbling hatupo hata kwenye kwenda hewani hatupo. 😂😂😂
Hahah ule mfumo wako wa Bullet Headers leo nimeujaribu mtamu sana aseeYani nipige pass kati wakati Neymar kafungua kwenye winga apige majaro😅
Sieleweki,,Yaani na wew pro unasema hivyo
Na nimefungwa mkuu 🤣🤣🤣 Kuna muda nlkuwa sielewi game nkaona nicheze pasKandambili1 anapiga sana pasi yaani pasi 180 🙄
Ila c unafunga sana tuSieleweki,,
sijawahi piga pass sahihi 100
Nabahatisha MkuuIla c unafunga sana tu
Tupande me npo onlineMda gani utakuwa online
Username gani hivi unatumiaTupande me npo online
Mtaalamu wa michezo unatupanga sana kaka🤣🤣🤣🤣Nabahatisha Mkuu
Kwan una bullet headers na wewe,😃😃Hahah ule mfumo wako wa Bullet Headers leo nimeujaribu mtamu sana asee
Ndo maana nimewauliza hawajaona goli lilipo😃😃Yani nipige pass kati wakati Neymar kafungua kwenye winga apige majaro😅