eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Leo nimecheza dvn ila kila nikikarbia kwenda dvn 1 nashindwa.... Sahizi imefika hiyo 1779 game moja tu ila wananiletea watu wanabonda mbaya.... Selikavu NEGAN Mill broh naomba tips hii game nimeshindwa cheza adi nipewe tips kwanza
Hapo ni kutafuta goli moja na kuanza kuclear tuu😃😃hakuna pasi nyingi golini


Pira kazi haswa haswa,😃😃
 
Itakuwa ni dhahama Kandambili kupata badge ya division one kabla ya hawa wafuatao😃😃😃

Mr Devil

Edo kissy

Pamela Mamtu 😃😃😃


Hii phase ikiisha sijui mtatuambia nini hasa mr Devil mmekosaje badge ya division one


Kazen bhana nyie wakongwe humu division mnafika mbona vizuri kabisa😃😃😃
😹😹hii nayo ina taka uvumilivu , kupanda na kushuka kuna chosha
 
😹😹😹😹 mabingwa Selikavu Gilberto_ Kumbe uku kuna baridii kali hiv
Screenshot_20250824_230750_eFootball.jpg
golden boy
Screenshot_20250824_230737_eFootball.jpg
WINNER 🏆
 
Back
Top Bottom