eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

We jamaa matokeo Mimi natakataa haiwezekani uhack mfumo🤣🤣🤣🤣 inakuwaje wachezaji wangu wanamove vile aiseh 🤣🤣🤣🤣🤣 dawati la Malalamiko lipitie hii
Game ya kwanza ulinisumbua nliweka 4-4-2 ila ya pili nliweka 4-3-3 nkatanua uwanja maana nliona umejaa sana katikati 😂😂 dembele mambio kulia afu hazard maspeed kushoto katikati kuna batigoal 😂😂
 
Screenshot_20250823-204704.png
Screenshot_20250823-210454.png
 
Game ya kwanza ulinisumbua nliweka 4-4-2 ila ya pili nliweka 4-3-3 nkatanua uwanja maana nliona umejaa sana katikati 😂😂 dembele mambio kulia afu hazard maspeed kushoto katikati kuna batigoal 😂😂
Hongera sana mkuu....game ya kwanza Kuna muda nilihisi mbs zimekata sikuwa naelewa movement ya wachezaji kabisa....all the best kwenye finale
 
Back
Top Bottom