Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Hata kama ni update mpK me nimeshanga kwamba ndo ustruggle namna hii kwa level yako...Sio kama nakuachia niliupdate samsung yangu kwenda latest version nimegundua ndio sababu ya kusumbukw kukaba kioo changu kinazingua napata shida sana kudefend kaka
Itakuwa kwel Samsung yako imekukwamish...
Form is temporary but class is permanent
Ur Top player
Nadhan simu itakuwa majanga
Maana hata division yalikuwa ni majanga