eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Aliompata Eden hazard vipi anfika rate ya ngap
Sijampata bado ila anafika 102.
IMG-20250818-WA0001.jpg
 
Manual nishawahi kujaribu . Kuna goal utafungwa utabaki unashangaa na Efficiency ya pass inapungua

Ni hayo tu
Hi ni update mpya, unajaribu kwanza ukishindwa unaachana nayo.

Maoni ya baadhi wanasema namna ya kuzuia mwanzo ilikuwa wengi wanatumia button ya match up peke yake ila hii update ya sasa inakulazimu utumie button 3(match up, dash na tackling) kwa umakini.
 
Back
Top Bottom