Nikacheka tuu🤣🤣Amorim😅😅
Ukiingia kwenye mfumo lazima ubamizwe😀Nikacheka tuu🤣🤣
Sasa kwel ndo uje na Outwide 😃😃si umeona osimenh hakuna alichofanyaUkiingia kwenye mfumo lazima ubamizwe😀
😹😹hii update ina support uchezaji wa kandambili ,gusa achia hadi anq fika golini kwako mda huo we usha punguza wachezaji kumkabaKanibamiza sio kunifunga😀View attachment 3445705
Plus smart assist ilikuwa ni lazima tu Negan akae😃😃😹😹hii update ina support uchezaji wa kandambili ,gusa achia hadi anq fika golini kwako mda huo we usha punguza wachezaji kumkaba
Wanamwita Pro Max Kandambili 😃😃Masta Kandambili1 endelea kuwanyoosha 😃🔥
huyo Issakson makanga (Mtuwa) na Alexander Lukashenko wasipoonekana leo nafasi yao tutaingia mimi na Selikavu ..utavuka ila kwa mbinde 😅
View attachment 3445831
DAY TWO.
View attachment 3445832
Mechi 2 kama kawaida.
CC- Corrie de killer NEGAN Razorblade Mr Devil Edo kissy Kandambili1 Issakson makanga Alexander Lukashenko Mill broh Warld
Dah nilijisahau 😆😆😆Masta Kandambili1 endelea kuwanyoosha 😃🔥
huyo Issakson makanga (Mtuwa) na Alexander Lukashenko wasipoonekana leo nafasi yao tutaingia mimi na Selikavu ..utavuka ila kwa mbinde 😅
View attachment 3445831
DAY TWO.
View attachment 3445832
Mechi 2 kama kawaida.
CC- Corrie de killer NEGAN Razorblade Mr Devil Edo kissy Kandambili1 Issakson makanga Alexander Lukashenko Mill broh Warld
Noma sana😃😃😃Dah nilijisahau 😆😆😆
Kinachoniua zaidi ni zile auto tackling za smart assist kupora mpira mabeki wangu.Plus smart assist ilikuwa ni lazima tu Negan akae😃😃
Admin niwekee goli langu moja linaweza nimeba huko mbele ya safari..Masta Kandambili1 endelea kuwanyoosha 😃🔥
huyo Issakson makanga (Mtuwa) na Alexander Lukashenko wasipoonekana leo nafasi yao tutaingia mimi na Selikavu ..utavuka ila kwa mbinde 😅
View attachment 3445831
DAY TWO.
View attachment 3445832
Mechi 2 kama kawaida.
CC- Corrie de killer NEGAN Razorblade Mr Devil Edo kissy Kandambili1 Issakson makanga Alexander Lukashenko Mill broh Warld
Nikiona beki wako ana mpira nashika dash& pressure kabisa🤣🤣🤣Kinachoniua zaidi ni zile auto tackling za smart assist kupora mpira mabeki wangu.
Nadhani wewe mwenyewe umenifunga magoli mengi kwa kupokonya mpira mabeki zangu😀 unajuaga kabisa ukiona beki wangu ana mpira huwa una press unajua goli hili hapa😀
Naonaga huwa nacheka sana😀Nikiona beki wako ana mpira nashika dash& pressure kabisa🤣🤣🤣
Ni mwendo wa kukuvizia tu ufanye makosa😃😃😃Naonaga huwa nacheka sana😀
Mkuu namimi nastruggle sana kuielewa hii update😹😹hii update ina support uchezaji wa kandambili ,gusa achia hadi anq fika golini kwako mda huo we usha punguza wachezaji kumkaba
Mkuu nashukuru sijapangiwa wewe wala mkuu Mill broh vipigo vingetembeaWanamwita Pro Max Kandambili 😃😃View attachment 3445913