eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

IMG-20250813-WA0143.jpg


Tukagueni mapema wakuu, mimi naetumia Oppo(Copy) naomba hili panga lisinikute 😂
 
Acha matusi mkuu 😂😂😂

Samsung natumia kwa mawasiliano ila kwenye game natumia Oppo tena copy na hapo sijaiona hata Oppo original 😂😂😂
Nilikuwa nawaza nipate simy nyingine before update lkn ngoma imekuwa ngumu
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Hata sub hayupo mzee😃😃😃 vick van de Van maspeed🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom