eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Screenshot_2025-08-13-07-50-35-48_dacb6cb66c1ceaabd92782c8217a74fb.jpg

Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kumbe ulimpata VVD wa 101 kaka๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmbona hukusema
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa kama mtu analalamika wachezaji wako wapo kila sehemu ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒme namsaidiaje sasa
 
Umesha master the art of using Drogba ๐Ÿ˜€
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Saiv nitakuwa nakaba mpka akimbie
 
Back
Top Bottom