Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,533
- 11,305
Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana 😂😂😂Unamfamu leao wewe😃😃
Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana 😂😂😂Unamfamu leao wewe😃😃
Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Kumbe unae mbona humpangi kikosini😀Konami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo 🥴
View attachment 3439684
Huko dvn sina haraka napo mkuu, nataka nihakikishe nasawazisha makosa niliyonayo kwenye defence na attack.Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
Mkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.Unpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1😀
Umesha master the art of using Drogba 😀Mkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.
Nikikuwekea stats za Drogba wangu hapa huwezi amini kama ni mzito 😂
Wa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box 🔥😀Kumbe unae mbona humpangi kikosini😀
Niuzie hiyo🤣🤣🤣Wa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box 🔥😀
Leao ni moto🤣🤣Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana 😂😂😂
Kumbe ulimpata VVD wa 101 kaka🤣🤣🤣mbona hukusemaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Sasa kama mtu analalamika wachezaji wako wapo kila sehemu 😃😃😃me namsaidiaje sasaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Nimeikumbuka formation yangu😃😃😃 LBC ilinifanya nikimbie😃😃😃wakileta kocha wa Qc nalud kwenye 4222Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
😃😃😃Mmoja anawaza akawa honeymoon wamekupa replacement yake kabisa🤣🤣Konami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo 🥴
View attachment 3439684
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa 😂😂😂Umesha master the art of using Drogba 😀
😃😃😃Jitu lina GB 2 za update peke ake unategemea nn lazima uchelewe kufika division oneUnpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1😀
Saiv nitakuwa nakaba mpka akimbieHuyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa 😂😂😂
Khalas 😂Leao ni moto🤣🤣