Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana ๐๐๐Unamfamu leao wewe๐๐
Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana ๐๐๐Unamfamu leao wewe๐๐
Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐๐๐
Kumbe unae mbona humpangi kikosini๐Konami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo ๐ฅด
View attachment 3439684
Huko dvn sina haraka napo mkuu, nataka nihakikishe nasawazisha makosa niliyonayo kwenye defence na attack.Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
Mkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.Unpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1๐
Umesha master the art of using Drogba ๐Mkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.
Nikikuwekea stats za Drogba wangu hapa huwezi amini kama ni mzito ๐
Wa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box ๐ฅ๐Kumbe unae mbona humpangi kikosini๐
Niuzie hiyo๐คฃ๐คฃ๐คฃWa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box ๐ฅ๐
Leao ni moto๐คฃ๐คฃDah! Tunaomiliki free cards tunashida sana ๐๐๐
Kumbe ulimpata VVD wa 101 kaka๐คฃ๐คฃ๐คฃmbona hukusemaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐๐๐
Sasa kama mtu analalamika wachezaji wako wapo kila sehemu ๐๐๐me namsaidiaje sasaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara ๐๐๐
Nimeikumbuka formation yangu๐๐๐ LBC ilinifanya nikimbie๐๐๐wakileta kocha wa Qc nalud kwenye 4222Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
๐๐๐Mmoja anawaza akawa honeymoon wamekupa replacement yake kabisa๐คฃ๐คฃKonami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo ๐ฅด
View attachment 3439684
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa ๐๐๐Umesha master the art of using Drogba ๐
๐๐๐Jitu lina GB 2 za update peke ake unategemea nn lazima uchelewe kufika division oneUnpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1๐
Saiv nitakuwa nakaba mpka akimbieHuyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa ๐๐๐
Khalas ๐Leao ni moto๐คฃ๐คฃ