eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Screenshot_2025-08-13-07-50-35-48_dacb6cb66c1ceaabd92782c8217a74fb.jpg

Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Kumbe ulimpata VVD wa 101 kaka🤣🤣🤣mbona hukusema
 
View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.

Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara 😂😂😂
Sasa kama mtu analalamika wachezaji wako wapo kila sehemu 😃😃😃me namsaidiaje sasa
 
Umesha master the art of using Drogba 😀
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa 😂😂😂
 
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa 😂😂😂
Saiv nitakuwa nakaba mpka akimbie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom