Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,719
cybertrust
Mbona ulitoka mapema leocybertrust
Huko dvn sijagusa kitambo, kumebadilika sana aisee, unawekewa man marking halafu unapigwa goli dakika ya 85 😂😂😂Ningojee sasa update😃😃😃
View attachment 3436611
Kawaida kabisa hiyoHuko dvn sijagusa kitambo, kumebadilika sana aisee, unawekewa man marking halafu unapigwa goli dakika ya 85 😂😂😂
Nilikuwa nasikiliza muda tu,Kuna mishe ya chap ilikuwa inaniitaMbona ulitoka mapema leo
Aah pow powNilikuwa nasikiliza muda tu,Kuna mishe ya chap ilikuwa inaniita
HALOTELIHivi hivyo vindege wanafanyaje maana huko dvn kumekuwa hovyo, mtu unamfunga na bado dakika nyingi halafu anafanya utumbo unapewa loss 😡
View attachment 3436896
Huko dvn chezeni wenyewe badga ya dvn 2 inanitosha kwa sasa 😂😂😂
Achana na halotel mkuu, hili linakera aisee.HALOTELI
Hivi hivyo vindege wanafanyaje maana huko dvn kumekuwa hovyo, mtu unamfunga na bado dakika nyingi halafu anafanya utumbo unapewa loss 😡
View attachment 3436896
Huko dvn chezeni wenyewe badga ya dvn 2 inanitosha kwa sasa 😂😂😂
😅Au cheza ya AI , usha wahi abandon match ya Ai ? wahuni wana bondaHivi hivyo vindege wanafanyaje maana huko dvn kumekuwa hovyo, mtu unamfunga na bado dakika nyingi halafu anafanya utumbo unapewa loss 😡
View attachment 3436896
Huko dvn chezeni wenyewe badga ya dvn 2 inanitosha kwa sasa 😂😂😂
Huko sina muda napo na huku PvP ndo sichezi tena, ujinga tu.😅Au cheza ya AI , usha wahi abandon match ya Ai ? wahuni wana bonda
Jitaid after update ucheze sana divisionHivi hivyo vindege wanafanyaje maana huko dvn kumekuwa hovyo, mtu unamfunga na bado dakika nyingi halafu anafanya utumbo unapewa loss 😡
View attachment 3436896
Huko dvn chezeni wenyewe badga ya dvn 2 inanitosha kwa sasa 😂😂😂
Hata nikijitahidi kama upuuzi ndo huu ni bure tu.Jitaid after update ucheze sana division
😹😹 ata me nme acha kucheza kupanda ,uwa nacheza nikiwa nataka kucheza na opponents tuHata nikijitahidi kama upuuzi ndo huu ni bure tu.
Ronaldo muache nje basi🤣🤣🤣
Leo saa tano kama kawaida mkuu
Na wewe cheza na Attacking Fullbacks 😃Ronaldo muache nje basi🤣🤣🤣
Saa 5 tukiwasheLeo saa tano kama kawaida mkuu