Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Aliyekula kala 😂
Voda
Pamoja, huyu leo atasimulia.Yas wana stong network mpaka H+ unacheza game 😂🔥
Yote ipo vizuri, ila inategemeana na location yako tu.
Yas H+ unacheza live??Yas wana stong network mpaka H+ unacheza game 😂🔥
Yote ipo vizuri, ila inategemeana na location yako tu.
uje hivi leo na beki wako Andunje Cannavaro , Me napita juu😹😹😹Pamoja, huyu leo atasimulia.
Yeah kaka, nishaona hicho kitu mara nyingi tu kwenye simu yangu nikitumia huo mtandao.Yas H+ unacheza live??
Twende tukamalize nini kakaYeah kaka, nishaona hicho kitu mara nyingi tu kwenye simu yangu nikitumia huo mtandao.
Tutacheza night tu, leo nilikuwa na safari fulani hapa ndo nipo kwenye gari narudi nyumbani.Twende tukamalize nini kaka
Niletee takwimu za mchezaji wako aliyepita kwa Cannavaro 😂uje hivi leo na beki wako Andunje Cannavaro , Me napita juu😹😹😹View attachment 3430762
We nunua tu 😂Konami wanataka ninunue coin naona😃😃😃nimechoma choma pale kwa Ronaldo hola😃😃
Hakuna nenoTutacheza night tu, leo nilikuwa na safari fulani hapa ndo nipo kwenye gari narudi nyumbani.
Kwenye saa 2 au 3 nitakucheki kaka.
Nataka nifanye ile negative coins😃😃We nunua tu 😂
😹tuachane na ayo Bwana halotel , leo ni siku nyingine 💥💥Niletee takwimu za mchezaji wako aliyepita kwa Cannavaro 😂
CB watatu kwenye back 4 wame kaajeNa week hii Alhamic hakuna Form update 😃😃😃