eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nilikuwa naota mkuu, ningempata ningekuwa naomba huruma yako hapa? 😂

Mkuu ulisema utaacha kucheza game lakini, embu nipatie hiyo account kabisa 😂
Sikuchawii kaka we kusanya hela ununue Account yenye Ronaldo simple tuu Negan hawezi kupa Account kaitesekea miaka yote hiyo😃😃

Kwanz umeshatumia hiyo Free??
 
Sikuchawii kaka we kusanya hela ununue Account yenye Ronaldo simple tuu Negan hawezi kupa Account kaitesekea miaka yote hiyo😃😃

Kwanz umeshatumia hiyo Free??
Nimepewa kibeki cha Manyumbu hata jina nimekisahau, nimekitimua 😂
 
WAKUU, ILE LIGI YETU SASA ITAANZA KUKIMBIZA 🚀

HIZI HAPA FIXTURE 1 & 2 KUANZE KUCHANGAMKA HUMU SASA...

ROUND 1.

View attachment 3430345

RULES .
Game Tatu za mwanzo home and Away

Wa kwanza mpaka wa sita wana qualify kwenda robo fainali...

Wa saba mpaka wa 10 wanaenda Playoffs...

Kumi na moja na kumi na mbili wanakuwa wametoka

Watakaopita Playoffs watakuja kuungana na waliopita moja kwa moja...

Tutapiga robo Ijumaa Jumamosi Nusu fainali Jumapili Fainali league inakuwa imeisha..

10 Minutes, Conditions both Excellent .. No Extra time & Penalties.

DEADLINE SAA 5:59 USIKU.


CC- NEGAN // Razorblade // Edo kissy // Alexander Lukashenko // Warld // Mr Devil // Kandambili1 // Selikavu // Waterbender // Corrie de killer // Mill broh
😹😹nika jipigie zangu yule bwana wa Haloteli
 
Back
Top Bottom