Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Yule mwana sana aisee ๐Me bora mniue๐๐๐ Siwezi mchezesha๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Amekimbia fedheha ila Mill broh kunguru sana ๐Thank you brother โโi appreciate that...
Ila kwann hujatutolea Razorblade kaka๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Aaah na hili gundu zitaenda zote hizo halafu niambulie magoroka ๐We nae, kwani Koller haumuoni hapo ๐
Muda ni uleule mkuu kuanzia saa 4 mpaka saa 5:59 ๐๐ tukutane room, kwanza nipe ratiba tuzame muda gani?
Mednasah(YouTuber) amenifundisha nicheze bila kutumia cross halafu ndo nijifunze kutumia cross(nalifanyia kazi) ๐๐๐Nimecheza nae mechi takriban elfu mbili na ushee cross alizopiga hazizidi tatu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Drogba yupi unaemzungumzia mkuu, huyu wangu au kuna mwengine? ๐๐๐Drogba ana speed ya konokono ana turn kama amefungwa mawe kwenye miguu๐
Mpaka sasa sijajua nani atamtoa Drogba kwenye nafasi yake, ngoja nisubiri card zinazokuja ๐Anaweza tumia mwaka mzima kugeuka....๐๐
Ila Razorblade hapo Amefika hasikii aoni๐๐
Yule jamaa anajua sanaMednasah(YouTuber) amenifundisha nicheze bila kutumia cross halafu ndo nijifunze kutumia cross(nalifanyia kazi) ๐๐๐
Didier Drogba wa mia na mbili ambaye konami walimpa Edo Kissy mara mbili๐คฃ๐คฃDrogba yupi unaemzungumzia mkuu, huyu wangu au kuna mwengine? ๐๐๐
Ndo napenda sasa, ila kutumia haram na drone football naweza vizuri sana ila mpira mbovu kama huo nacheza dvn au nikiwa nahitaji coins kwenye PvP ๐๐๐๐ mtu wa hivyo hatofika popote
Nitamwambia mamtu akishika simu yako amrelease๐คฃ๐คฃ๐คฃMpaka sasa sijajua nani atamtoa Drogba kwenye nafasi yake, ngoja nisubiri card zinazokuja ๐
Drone na Haram ni mpira mbovu sio๐คฃ๐คฃ๐คฃNdo napenda sasa, ila kutumia haram na drone football naweza vizuri sana ila mpira mbovu kama huo nacheza dvn au nikiwa nahitaji coins kwenye PvP ๐๐๐
Mimi kama mtu wa pwani nikimiliki chombo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa ๐๐๐Ngoja povu lije sasa ila ndo ukwel๐๐
Fala una maneno sana๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi kama mtu wa pwani nikimiliki chomo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa ๐๐๐
Asubuhi kwenye bao, jioni kwenye kahawa ๐๐๐
Yule jamaa ndo alinifanya nisipende sana cross maana alisema siyo lazima kutumia cross kwenye LBC halafu ukiangalia anatandaza boli safi na habutui hata akifungwa.Yule jamaa anajua sana
Sema ndo hivyo anatumia Console ๐๐
Yule kwangu familiya kabisa, haniangushi ๐Didier Drogba wa mia na mbili ambaye konami walimpa Edo Kissy mara mbili๐คฃ๐คฃ
Itabidi aingie gharama kutafuta kikosi ambacho kina Drogba ๐Nitamwambia mamtu akishika simu yako amrelease๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ile ni padi mzee๐๐Yule jamaa ndo alinifanya nisipende sana cross maana alisema siyo lazima kutumia cross kwenye LBC halafu ukiangalia anatandaza boli safi na habutui hata akifungwa.
Ama muachane sio, ๐Itabidi aingie gharama kutafuta kikosi ambacho kina Drogba ๐
Mimi nataka kujua game, sitaki kucheza game ๐Fala una maneno sana๐คฃ๐คฃ๐คฃ