eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nilisema lini tena? 😂

Ishu inakuja humu tupo wachache mno, naona hatufiki 8 ambao tupo active tuanzishe hata mtoano hapo..
Hii nakumbuka ulisema sema kitambo

Active mpo sita 😃 unaweka kama UEFA ilivyo... Mnaanza na League kila mtu anacheza mechi zake hata tatu Kwanza mkimaliza wawili wa juu wanaenda Nusu fainali moja kwa moja waliobaki wanne wanacheza playoffs... Wanapatikana wawili wanakuja kucheza Nusu fainali then Fainali league imeisha
 
Mimi, wewe, Negan, Razorblade, Mr Devil, Mill Broh

Na nani? Tuwe nane tuanzie QUARTERS ..
Active mpo sita 😃 unaweka kama UEFA ilivyo... Mnaanza na League kila mtu anacheza mechi zake hata tatu Kwanza mkimaliza wawili wa juu wanaenda Nusu fainali moja kwa moja waliobaki wanne wanacheza playoffs... Wanapatikana wawili wanakuja kucheza Nusu fainali then Fainali league imeisha
 
Hii nakumbuka ulisema sema kitambo

Active mpo sita 😃 unaweka kama UEFA ilivyo... Mnaanza na League kila mtu anacheza mechi zake hata tatu Kwanza mkimaliza wawili wa juu wanaenda Nusu fainali moja kwa moja waliobaki wanne wanacheza playoffs... Wanapatikana wawili wanakuja kucheza Nusu fainali then Fainali league imeisha
Hii nzuri mshindi anapitia pumzi ya moto😀
 
Active mpo sita 😃 unaweka kama UEFA ilivyo... Mnaanza na League kila mtu anacheza mechi zake hata tatu Kwanza mkimaliza wawili wa juu wanaenda Nusu fainali moja kwa moja waliobaki wanne wanacheza playoffs... Wanapatikana wawili wanakuja kucheza Nusu fainali then Fainali league imeisha
Eeh hapo unyama, naimani tukifanya hivi hata wale wachezaji waliokuwa kimya wataanza kujitokeza.
 
Tena ikiwezekana kila week kunakuwa na League mpya😀😀

Jumatatu mpka Jumatano mnacheza mechi hizo tatu za league

Alhamic Playoffs

Ijumaa Nusu Fainal

Jumamosi au jumapili Fainali
Aaah familiya yangu kabisa wewe, hivi ndo nilivyokuwa nafikiria 😂

J'Mosi anatafutwa mshindi wa 3 halafu J'Pili Final, hii ni kuongeza ladha tu katika shindano.

Halafu J3 ngoma inaanza tena 😂
 
Back
Top Bottom