Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 906
- 2,517
Sema wakuu, mi naona saivi wanavyogawa epics za 105 naona kufika 3200 ni kitu kirahisi tu.. mimi account zote 2 nilizonazo saivi strength inafika 3175+
Naona kwa vile watu wenye game lao wameshaanza kufikia 3300+ wengine tutabanana 3200 saivi 😂
Naona kwa vile watu wenye game lao wameshaanza kufikia 3300+ wengine tutabanana 3200 saivi 😂