eFootball Special Thread

CMF inakaa poa Box box ni wazuri sema sijui kuwatumia naoenda pivot iliyotulia ya Anchorman na Orchestrator. B2B wanazurura sana uwanjani.
Napenda kubalance timu kwenye uzuiaji na ushambuliaji ndiyomaana hapo DMF nimemuweka Amrabat huku nikimsubiria Kante wa bure 😂.
 
Muweke uone utakavyolia, orchestrator ni wazuri kwenye double pivot akae na anchorman na siyo acheze peke yake.
Leo nikasema nikaze nipande division... Kwakuwa sina Anchorman mwingine zaid ya Rodri... Nikasema acha nimuweke tuu...

Nikamtrain Guardiola kucheza CMF then nikamuweka Rodri baada ya kukaza vidole siku nzima hatimaye nimpanda division two..

Nb.. mchana wale mapro wanakuwa hawapo😂😂😂ila usiku na Asubuhi muda mwingine nakutana na watu wa 3210 kuendelea huko mtu ana maradona, bale wa 107 anakimbia kama ana mota yan ni kazi kwel kwel

Team niliona nichukue Unique kdg niliona watu humu ndani wana adi Santos😂 na maceltic me nikaona Benifica atanifaa uzi wake naukubali mno
 
Daah! Ngoja nikajaribu bahati yangu.
 
Tamaa mbele mauti nyuma, nimeenda nimecheza mechi 4, nimeshinda 1 ila 3 zote nimefungwa 😂.

Vile mnacheza wote mnakamia basi goli ni 1 tu kufungwa goli nyingi utake mwenyewe 😂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…