eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ile 105 inapendeza kuiangalia. Ntamchukua akae hata benchi. Najua hawezi kumuweka benchi Diogo Costa. Moto wa Costa unaujua kuna mechi ile nilitoka on target 0 Costa alipangua mashuti yako mengi hadi nikawa nacheka😃
Bora uchukue mchezaji utakaemtumia bhana hayo matumizi mabaya ya Selection Contract šŸ˜‚
 
Ngoja tuone kama watawarudisha kesho
Ikija hivi unaondoka na nani??
IMG-20250723-WA0202.jpg
 
Back
Top Bottom