Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Ujue na bale amepondwa mpaka sasa kila mtu anamuwaza Diego ForlanHamna kazi humo 😂
Ujue na bale amepondwa mpaka sasa kila mtu anamuwaza Diego ForlanHamna kazi humo 😂
AmirMaftahLeta username tukuadd mkuu
Saa nne nne tupande
Ngoja nijifue kwanza nikiiva nitaleta🤣🤣Karibu sana mkuu
Leta username kabisa😃
Kuleta Username ni jambo jingine na kucheza ni jambo jingine 😃😃😃Ngoja nijifue kwanza nikiiva nitaleta🤣🤣
Pow nakutumia friend request mida ya saa nne tupande nitaanzia huku kukushtuaAmirMaftah
Sure kipa wa 105 ni adimu mimi mwenyewe kesho akiwepo naruka nae😹😹apo sina kufikiria napita na kipa ,hawa wengine ni rahisi kupatikana kuliko makipa
Id yangu ni MyunaniAmirMaftah
Amin mkuuPow nakutumia friend request mida ya saa nne tupande nitaanzia huku kukushtua
😃😃😃Kwahiyo Cassilas humtaki tena mkuu 😃😃Sure kipa wa 105 ni adimu mimi mwenyewe kesho akiwepo naruka nae
Sawa nikiona request tu nimooId yangu ni Myunani
Alafu mbona wewe ni Fan wa offensive Gk mkuu 😃😃Sure kipa wa 105 ni adimu mimi mwenyewe kesho akiwepo naruka nae
Pow powSawa nikiona request tu nimoo
Casillas hawezi kudaka mashuti ya karibu ni pazia😃😃😃😃Kwahiyo Cassilas humtaki tena mkuu 😃😃
Ile 105 inapendeza kuiangalia. Ntamchukua akae hata benchi. Najua hawezi kumuweka benchi Diogo Costa. Moto wa Costa unaujua kuna mechi ile nilitoka on target 0 Costa alipangua mashuti yako mengi hadi nikawa nacheka😃Alafu mbona wewe ni Fan wa offensive Gk mkuu 😃😃
Yule wa 105 mbona huwa ananisumbua sanaCasillas hawezi kudaka mashuti ya karibu ni pazia😃
🤣🤣🤣🤣 Ilibid niende kuhakikisha ni yeye kwel au SchmichelIle 105 inapendeza kuiangalia. Ntamchukua akae hata benchi. Najua hawezi kumuweka benchi Diogo Costa. Moto wa Costa unaujua kuna mechi ile nilitoka on target 0 Costa alipangua mashuti yako mengi hadi nikawa nacheka😃
Mkuu naona haupo onlineSawa nikiona request tu nimoo
Asipokuja Cannavaro naondoka na Puyol, Bale nishamkataa.Ujue na bale amepondwa mpaka sada kila mtu anamuwaza Diego Forlan
Chukua Khan wa pili huyo waliyekupa anaeza akaumwa siku moja asicheze 🤣🤣🤣🤣Asipokuja Cannavaro naondoka na Puyol, Bale nishamkataa.
Natuma yangu hapo utaiona, timu Santos username utaona hukohuko.AmirMaftah