eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

😃😃😃😃😃Kanibeba asee

Sema khan wako kazi ninayo
Saves 6 😂, ila hizi saves zimetokana na ukuta kuwa solid kidogo maana baada ya kuona wanawin beki zangu mipira ukaanza kupiga nje ya 18.

Ilikuwa ni ratiba ya kutumia nafasi, kwenye mashuti matatu niliyopiga on target mawili goli(nahisi)
 
Saves 6 😂, ila hizi saves zimetokana na ukuta kuwa solid kidogo maana baada ya kuona wanawin beki zangu mipira ukaanza kupiga nje ya 18.

Ilikuwa ni ratiba ya kutumia nafasi, kwenye mashuti matatu niliyopiga on target mawili goli(nahisi)
Me kupiga nje ya 18 siwezi acha😃😃😃
 
Back
Top Bottom