eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Maana hausogei ukuta umetulia unasubiri kufanya tackling ipigwe counter chap😃
😃😃😃Napata shida kwenye counter na LBC ila nitaimaster tuu nilikuwa nacheza na strikers watatu leo ndo nimelud kwenye 4222
Kinachonifanya nisiiache ni hiyo defensive line inakaaa mbali mno ad raha
 
Selikavu NEGAN mbona hamleti matokeo nyie mnaandika andika tu 😂
Jina lake litakukera😃😃maana wewe ni mtumiaji wa smart assist

Ila hizo mbili za mwanzo zenye jina kali kabisa tulidraw moja moja network yake ilikata tukamalizia hizi mbili
Screenshot_20250722-063020_1.jpg
 
Back
Top Bottom