Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,210
- 10,497
Kabisa ala Bale haachwi.Labda ulogwe
Kabisa ala Bale haachwi.Labda ulogwe
Wawatoe wote waniachie Bale 😂Nahisi hao wa zamani hawatokuwepo watabaki wale chini ya 102
Ila huyu Bebeto anabalaa.
Acha mzee nimemuangalia hapo nikasema duhIla huyu Bebeto anabalaa.
Halafu kuna huyo Cannavaro.Acha mzee nimemuangalia hapo nikasema duh
Bale hawezi kukosa. Ila kwa kina Oliver Kahn KONAMI navyowajua sidhani kama watarudi😃Wawatoe wote waniachie Bale 😂
Asirudi tu ndo vizuri, mie kikosi cha kutengeneza kwa wachezaji wa bure siwezi mpuuzia Bale 😂Bale hawezi kukosa. Ila kwa kina Oliver Kahn KONAMI navyowajua sidhani kama watarudi😃
Umempata Bebeto leo??Nina options nne Cannavaro,Bale,Casillas,Khan sijui niongeze nani ?View attachment 3413306
Haji huyo😃Halafu kuna huyo Cannavaro.
Muda leo ScholesUmempata Bebeto leo??
Hao akina Cannavaro, khan na wengine wanawe wasiludiNina options nne Cannavaro,Bale,Casillas,Khan sijui niongeze nani ?View attachment 3413306
Messi atashuka chini halafu anaingia Bale Beckham anaweza kula mkekaHao akina Cannavaro, khan na wengine wanawe wasiludi
Confirmed mpka sasa ni kaka, Puyol, Cassilas, bale na Rooney
Kwangu naona Bale ili aje amtoe messi hapo japo na Casillas ukienda nae sio mbaya
Mkuu huyo Bastoni ni Build up mbona umemuweka pembeni?Nina options nne Cannavaro,Bale,Casillas,Khan sijui niongeze nani ?View attachment 3413306
Anatumia mguu wa kushoto...Mkuu huyo Bastoni ni Build up mbona umemuweka pembeni?
😃😃😃Amna messi aende tuu benchi😃😃Messi atashuka chini halafu anaingia Bale Beckham anaweza kula mkeka
Ndio anacheza vizuri zaidiMkuu huyo Bastoni ni Build up mbona umemuweka pembeni?
Una utani na Messi😀 Ronaldo mwenyewe ilikuwa kipengele mpaka nimempumzisha niliikosa ile pack ya Al Nasr alikuwa anafika 106 kama sikosee huyu Ronaldo nilienae kuna vitu ana miss😃😃😃Amna messi aende tuu benchi😃😃
Ila kila mtu na mchezo wake😃😃me kwangu hawezi mikiki yangu😃😃Una utani na Messi😀 Ronaldo mwenyewe ilikuwa kipengele mpaka nimempumzisha niliikosa ile pack ya Al Nasr alikuwa anafika 106 kama sikosee huyu Ronaldo nilienae kuna vitu ana miss