Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,210
- 10,497
Hii ndo mbaya 😂Hadi usiku utakuta chance deal ime expire 😃 .
Hii ndo mbaya 😂Hadi usiku utakuta chance deal ime expire 😃 .
Bastoni amuweke benchi Pique hell no. Jaribu Combo ya Van dijk na Pique uone maajabu. Van dijk ana deal na mipira ya juu Pique anafagia.Nime ambulia uyu ila atakaa benchi hawezi anza mbele ya van dijk na Baston View attachment 3413081
Nashangaa sana yani Puyol akae benchi halafu Bastoni aanze, ila kila mtu na taste yake.Bastoni amuweke benchi Pique hell no. Jaribu Combo ya Van dijk na Pique uone maajabu. Van dijk ana deal na mipira ya juu Pique anafagia.
Nitaleta mkuu wakizitoaBooster ya puyol ?
Ngoja nikaspin tu, hapa nitajikuta naondoka kabla ya muda 😂Nitaleta mkuu wakizitoa
Nipe Account huna jinsi kijana 🤣🤣🤣Na hapa nilipo hakuna hata mtu mwenye eFootball, wanacheza makatuni ya DLS tu 😂
Ubaya ni kwamba account ina email halisi na humu kila mtu anatumia ID fake 😂Nipe Account huna jinsi kijana 🤣🤣🤣
Mkuu puyol na Tony Adams unaenda na yupi??Bastoni amuweke benchi Pique hell no. Jaribu Combo ya Van dijk na Pique uone maajabu. Van dijk ana deal na mipira ya juu Pique anafagia.
We kichwa si una ad namba yangu 🤣🤣🤣Ubaya ni kwamba account ina email halisi na humu kila mtu anatumia ID fake 😂
Long ball counter Tony, Quick counter PuyolMkuu puyol na Tony Adams unaenda na yupi??
Ah sawaa mkuuLong ball counter Tony, Quick counter Puyol
Tulia kwanza nispin hapa 😂We kichwa si una ad namba yangu 🤣🤣🤣
Naona tumepewa pamoja 🤣🤣🤣sema una mastriker wengi mzee🤣🤣🤣
Umeshalud geto??Tulia kwanza nispin hapa 😂
Na narudi nilipokuwa, nimefanikiwa na booster nimepatia 😂Umeshalud geto??
Umempata nani??🤣🤣Na narudi nilipokuwa, nimefanikiwa na booster nimepatia 😂
Dah🤣🤣🤣🤣Konami baada ya kuona wamempa Selikavu striker tishio vile hawana baya wameamua kunipa nyanda tishio ili vita iwe ngumu 😂
View attachment 3413116
View attachment 3413117