eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Dah huyu Khan anafika 105 silet timu kaka🤣🤣🤣
Screenshot_20250721-145724.png
 
Konami wamejua kutupatia muda huu...

Negan anapenda sana Offensive GK wamempa Cassilas


Me nataka wazee wa counter wamenipa Van Basten


Razorblade unapenda sana Defensive Gk wamekupa Khan 🤣🤣🤣

Sema hilo dude linadaka bhana jamaa alikuwa naye wa 99 ila nilikuwa sifungi kizembe🤣
Nilikuwa namtamani sana Vitor Baiya ila Konami wamejua kukidhi haja yangu.

Makipa watatu wote ni DG
Oliver
Dominik
Courtois
 
Eeh alhamic hapa nishaanza kuwaza kutafuta mbadala😃😃wa bale

Nimeona dixon atakuwepo pale kama akiwepo nitamchukua maana sina left back
Bale simuachi, kikosi chenyewe ni free epics halafu niache free blitz, big NO 😂
 
Jifunze kutoa kipa kaka😃😃😃 utanishukuru baadae


Hii inaenda kwa wote ambao tunatumia Defensive Gk😃😃😃

Msije sema sikusema😃😃😃
Sasahivi kipa namtoa mbona na amekuwa akisaidia sana beki zikikatika.
 
Back
Top Bottom