Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,210
- 10,497
Simu sipo nayo 😂Ingia kwenye game kaka
Simu sipo nayo 😂Ingia kwenye game kaka
Leta account yako🤣🤣🤣(Am kidding bruh)🤣🤣🤣Simu sipo nayo 😂
Daah! Mbona unanipa moto, kusubiri mpaka usiku ndo nikachukue simu naona ganzi 😂Ingia kwenye game kaka
Ile bado wameleta leo noma sana me nimepata Van Basten wa 105
Daaah huyo hata mimi namtaka 😂Selikavu kumbe Van Basten ni fox in the box 💔
Nikupe kweli?Leta account yako🤣🤣🤣(Am kidding bruh)🤣🤣🤣
Ngojea hiyo ipo tuu😃😃ile account yangu ya Japan wamenipa Puyol😃😃Daah! Mbona unanipa moto, kusubiri mpaka usiku ndo nikachukue simu naona ganzi 😂
Nah bro nisije nikajinx ngojea uspine kwa mikono yako mwenyewe 😃😃😃Nikupe kweli?
Mie sina baya 😂
Hongera kakaNime ambulia uyu ila atakaa benchi hawezi anza mbele ya van dijk na Baston View attachment 3413081
Ya stream nimekosaHongera kaka
Hapa kuna mawili, nikimbie simu ilipo muda huu halafu nirudi au niwahi kutoka hapa mapema kabla ya muda wake 😂Ngojea hiyo ipo tuu😃😃ile account yangu ya Japan wamenipa Puyol😃😃
Hiyo kapata Negan tuu me pia nimeikosaYa stream nimekosa
Acha woga 😂Nah bro nisije nikajinx ngojea uspine kwa mikono yako mwenyewe 😃😃😃
Wai kutoka tuu kaka (Second Option)Hapa kuna mawili, nikimbie simu ilipo muda huu halafu nirudi au niwahi kutoka hapa mapema kabla ya muda wake 😂
Naanzaje kukuambia wamekupa Batistuta tena🤣🤣🤣🤣Acha woga 😂
Sema ni jau hawa, nimechelewa kutoka home kwa sababu yao halafu wanakuja kufungua spin nikiwa sipo home 😂Wai kutoka tuu kaka (Second Option)
Hadi usiku utakuta chance deal ime expire 😃 .Daah! Mbona unanipa moto, kusubiri mpaka usiku ndo nikachukue simu naona ganzi 😂
Na hapa nilipo hakuna hata mtu mwenye eFootball, wanacheza makatuni ya DLS tu 😂Naanzaje kukuambia wamekupa Batistuta tena🤣🤣🤣🤣
Just kidding hayupo pale 🤣🤣🤣